UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Mi nataka kujua aina ya ujumbe waliyokujanao,kipimo gani utatumia kujua lipi zuri na lipi baya? na baya kwa nani kwa mungu au binaadamu?Kasome misaafu yao uchambue, mazuri yote yanatokana na Mungu lkn mabaya ni mawazo ya waandishi