Wakomunisti ni watu pekee wanaojua namna bora ya kutwaa madaraka kutoka kwa watawala

Wakomunisti ni watu pekee wanaojua namna bora ya kutwaa madaraka kutoka kwa watawala

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Licha ya kwamba si kubaliani na mambo kadha wa kadha yanayo tekelezwa na wakomunisti lakini kuna baadhi ya mambo wanajitahidi mfano kuweka dini na siasa mbali hilo moja.

Leo tuizungumzie namna ambavyo mbinu za wakomunisti kwangu ndizo mbinu bora kutwaa madaraka kutoka kwa watawala wapuuzi.

Kwa kufuata historia ya vyama vya kikomunisti duniani na namna ukomunisti ulivyoweza kuingia sehemu mbalimbali za duniani ninasema kuwa mbinu za kikomunisti kutwaa madaraka zimethibitisha kuwa ndio mbinu bora kupambana na tawala zilizoshindikana na za hovyo.

Hawa wakomunisti kwanza kabisa wanaisambaza ideology yao kwa jamii nzima waielewe mtaa kwa mtaa Kijiji kwa Kijiji mkoa kwa mkoa mpaka karibia nchi nzima.

Hiyo ideology yao wanaisambaza kwa kundi kandamizi ambalo ndilo kubwa katika jamii ili liweze kujua ni kipi na kipi hakipo sawa na kinapaswa kupambaniwa.

Baada ya kufanya hivyo wanaji organize wote kwa pamoja wanaitisha maandamano makubwa kupinga yale wasiyo yataka baada ya hapo wanazama msituni kama mbwai na iwe mbwai mpaka utawala uanguke.

Hapo litapigwa battle kati ya serikali iliyopo madarakani na wananchi wenye hasira kali mpaka serikali itakimbia ikulu yenyewe.

Na jambo la kufurahisha haya yote wanao ya organize ni vijana wadogo tu lakini wanapambana na serikali ki ideology na pamoja na battle la msitu kwa msitu mpaka serikali ina surrender.

Wacha niweke wazi kuwa mimi binafsi sio muumini kuwa utawala dhalimu unaangushwa kwa njia kubembelezwa nina kubaliana na wakomunisti kuwa nguvu ya umma pekee ndio ina angusha tawala dhalimu
 
Uzi mzuri,ispokuwa rudia kusoma ufanye marekebisho kidogo kwenye uandishi

Kuna kitufe" edit "kitumie
 
Msituni ni mambo ya kizamani.

Maandamano ya Amani bila kubeba silaha ndio njia nzuri ya kuwaondoa madhalimu madarakani.

Yaani ni pale wananchi watapochagua kuuwawa Ili kulinda HAKI, uhuru na raslimali zao Kwa vizazi vijavyo.
Maandamano makubwa ndio mbinu ya mwanzo kabisa ya wakomunisti
 
Licha ya kwamba si kubaliani na mambo kadha wa kadha yanayo tekelezwa na wakomunisti lakini kuna baadhi ya mambo wanajitahidi mfano kuweka dini na siasa mbali hilo moja.

Leo tuizungumzie namna ambavyo mbinu za wakomunisti kwangu ndizo mbinu bora kutwaa madaraka kutoka kwa watawala wapuuzi.

Kwa kufuata historia ya vyama vya kikomunisti duniani na namna ukomunisti ulivyoweza kuingia sehemu mbalimbali za duniani ninasema kuwa mbinu za kikomunisti kutwaa madaraka zimethibitisha kuwa ndio mbinu bora kupambana na tawala zilizoshindikana na za hovyo.

Hawa wakomunisti kwanza kabisa wanaisambaza ideology yao kwa jamii nzima waielewe mtaa kwa mtaa Kijiji kwa Kijiji mkoa kwa mkoa mpaka karibia nchi nzima.

Hiyo ideology yao wanaisambaza kwa kundi kandamozi ambalo ndilo kubwa katika njia ili liweze kujua ni kipi na kipi hakipo sawa na kinapaswa kupambaniwa.

Baada ya kufanya hivyo wanaji organize wote kwa pamoja wanaitisha maandamano makubwa kupinga yale wasiyo yataka baada ya hapo wanazama msituni kama mbwai na iwe mbwai mpaka utawala uanguke.

Hapo litapigwa battle kati ya serikali iliyopo madarakani na wananchi wenye hasira kali mpaka serikali itakimbia ikulu yenyewe.

Na jambo la kufurahisha haya yote wanao ya organize ni vijana wadogo tu lakini wanapambana na serikali ki ideology na pamoja na battle la msitu kwa msitu mpaka serikali ina surrender.

Wacha niweke wazi kuwa mimi binafsi sio muumini kuwa utawala dhalimu unaangushwa kwa njia kubembelezwa nina kubaliana na wakomunisti kuwa nguvu ya umma pekee ndio ina angusha tawala dhalimu
Uko sahihi, hapa walipofikia CCM njia hiyo ndio pekee itawatoa. Kutegemea njia ya kura ni kupoteza muda.
 
Idea nzuri, ila hio ni mbinu ya kizamani sana, ukiifanya sahizi hutoboi kabisa,

kwanza unahitaji uungwaji mkono toka mataifa,

pili unahitaji kuungwa mkono na jeshi la nchi yako, mana inabidi upate silaha tena sio silaha tu ni silaha za kisasa ambazo zinacost mabillion,

Tatu inabid wananchi wakuunge mkono sanaaa, ila kama utafanya vita viende more than 4 months bas hali ya nchi itakuwa ngumu, hivyo wew mwenyewe wananchi wataanza kukuchukia,

Nne kizazi hiki cha sasa dunia nzima, hakipo tayari kufa kisa madaraka, utaona mwenyewe mfano wa nchi zinazopigana raia wanajiweka kando sanaaa, refer Sudani, ni majeshi tu yanapigana

Tano, ukianzisha vita bila kuungwa na mabeberu, bas utatengwa na dunia, ukija shika nchi utakuta unaipeleka. Nchi yako iliko North Korea ambako ni kubaya zaidi,

Kwa kifupi, kwa sasa unahitaji akili zaidi kuliko manguvu kuitoa serikali dhalimu,
Nashauri, kuunganisha nguvu ya vyama vyote vya upinzani, kupambania katiba na tume huru ya uchaguzi, kisha kuingia Ikulu kwa kura, wote hao wakomunist walipoingia madarakani waliishia kiharibu nchi zao, hakuna cha maana walichofanya, Refer Russia, China, Cuba, North korea nakadhalika
 
Licha ya kwamba si kubaliani na mambo kadha wa kadha yanayo tekelezwa na wakomunisti lakini kuna baadhi ya mambo wanajitahidi mfano kuweka dini na siasa mbali hilo moja.

Leo tuizungumzie namna ambavyo mbinu za wakomunisti kwangu ndizo mbinu bora kutwaa madaraka kutoka kwa watawala wapuuzi.

Kwa kufuata historia ya vyama vya kikomunisti duniani na namna ukomunisti ulivyoweza kuingia sehemu mbalimbali za duniani ninasema kuwa mbinu za kikomunisti kutwaa madaraka zimethibitisha kuwa ndio mbinu bora kupambana na tawala zilizoshindikana na za hovyo.

Hawa wakomunisti kwanza kabisa wanaisambaza ideology yao kwa jamii nzima waielewe mtaa kwa mtaa Kijiji kwa Kijiji mkoa kwa mkoa mpaka karibia nchi nzima.

Hiyo ideology yao wanaisambaza kwa kundi kandamizi ambalo ndilo kubwa katika jamii ili liweze kujua ni kipi na kipi hakipo sawa na kinapaswa kupambaniwa.

Baada ya kufanya hivyo wanaji organize wote kwa pamoja wanaitisha maandamano makubwa kupinga yale wasiyo yataka baada ya hapo wanazama msituni kama mbwai na iwe mbwai mpaka utawala uanguke.

Hapo litapigwa battle kati ya serikali iliyopo madarakani na wananchi wenye hasira kali mpaka serikali itakimbia ikulu yenyewe.

Na jambo la kufurahisha haya yote wanao ya organize ni vijana wadogo tu lakini wanapambana na serikali ki ideology na pamoja na battle la msitu kwa msitu mpaka serikali ina surrender.

Wacha niweke wazi kuwa mimi binafsi sio muumini kuwa utawala dhalimu unaangushwa kwa njia kubembelezwa nina kubaliana na wakomunisti kuwa nguvu ya umma pekee ndio ina angusha tawala dhalimu
Ukomonistist ni future ya dunia mpya ijayo ni mfumo bora unaoweza kuwaangusha wajamaa(wasosholist) Akina Biden
Baada ya kuwaangusha ma- beberu
 
Idea nzuri, ila hio ni mbinu ya kizamani sana, ukiifanya sahizi hutoboi kabisa,

kwanza unahitaji uungwaji mkono toka mataifa,

pili unahitaji kuungwa mkono na jeshi la nchi yako, mana inabidi upate silaha tena sio silaha tu ni silaha za kisasa ambazo zinacost mabillion,

Tatu inabid wananchi wakuunge mkono sanaaa, ila kama utafanya vita viende more than 4 months bas hali ya nchi itakuwa ngumu, hivyo wew mwenyewe wananchi wataanza kukuchukia,

Nne kizazi hiki cha sasa dunia nzima, hakipo tayari kufa kisa madaraka, utaona mwenyewe mfano wa nchi zinazopigana raia wanajiweka kando sanaaa, refer Sudani, ni majeshi tu yanapigana

Tano, ukianzisha vita bila kuungwa na mabeberu, bas utatengwa na dunia, ukija shika nchi utakuta unaipeleka. Nchi yako iliko North Korea ambako ni kubaya zaidi,

Kwa kifupi, kwa sasa unahitaji akili zaidi kuliko manguvu kuitoa serikali dhalimu,
Nashauri, kuunganisha nguvu ya vyama vyote vya upinzani, kupambania katiba na tume huru ya uchaguzi, kisha kuingia Ikulu kwa kura, wote hao wakomunist walipoingia madarakani waliishia kiharibu nchi zao, hakuna cha maana walichofanya, Refer Russia, China, Cuba, North korea nakadhalika
Watu waoga hawawezi tumia mbinu nilizo elekeza
 
Msituni ni mambo ya kizamani.

Maandamano ya Amani bila kubeba silaha ndio njia nzuri ya kuwaondoa madhalimu madarakani.

Yaani ni pale wananchi watapochagua kuuwawa Ili kulinda HAKI, uhuru na raslimali zao Kwa vizazi vijavyo.
Kama srilanka

Ova
 
Msituni ni mambo ya kizamani.

Maandamano ya Amani bila kubeba silaha ndio njia nzuri ya kuwaondoa madhalimu madarakani.

Yaani ni pale wananchi watapochagua kuuwawa Ili kulinda HAKI, uhuru na raslimali zao Kwa vizazi vijavyo.
Kawaida maandamano ya amani huwarudisha madarakani wahuni walewale.
 
Tuji organize vijan wakicommunist tulianzishe kam mbwai naiwe mbwai😁
 
Msituni ni mambo ya kizamani.

Maandamano ya Amani bila kubeba silaha ndio njia nzuri ya kuwaondoa madhalimu madarakani.

Yaani ni pale wananchi watapochagua kuuwawa Ili kulinda HAKI, uhuru na raslimali zao Kwa vizazi vijavyo.
Mtu mwenyewe ni huyu! Mikutano kidogo tu ya Chadema ameibuka na kubwabwaja na mipasho ya taarabu! Moto wa msituni atauwezea wapi? Tuandamane tu Kwa Amani bila hata toothpick mkononi hadi waondoke wenyewe.
 
Back
Top Bottom