mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,668
- 3,428
Kama kichwa cha taarifa hapo juu. Hali si shwari Kongo
====
Kongo kumechafuka, na hali si shwari toka tarehe 2/2/2024, Wakongo hawataki shaba (copper) itoke nchini mwao, gafi yako ikibeba shaba kusafirisha nje inashambuliwa.
Gari hiyo inayoonekana kwenye video inasemekana ni kutoka kampuni ya Azania Group, ambapo dereva na utingo wake walishambuliwa wakiwa njiani kusafirisha shaba, inasemekana dereva alifariki ila utingo wako haijulikani ana hali gani.
Baadhi ya Watanzania waliokwama huko waomba msaada kwa serikali kutoa tamko na kuwapatia msaada ili waweze kurudi nchini, pia wamewatahadhirisha madereva wengine kutokwenda Kongo kwa sasa.
====
Kongo kumechafuka, na hali si shwari toka tarehe 2/2/2024, Wakongo hawataki shaba (copper) itoke nchini mwao, gafi yako ikibeba shaba kusafirisha nje inashambuliwa.
Gari hiyo inayoonekana kwenye video inasemekana ni kutoka kampuni ya Azania Group, ambapo dereva na utingo wake walishambuliwa wakiwa njiani kusafirisha shaba, inasemekana dereva alifariki ila utingo wako haijulikani ana hali gani.
Baadhi ya Watanzania waliokwama huko waomba msaada kwa serikali kutoa tamko na kuwapatia msaada ili waweze kurudi nchini, pia wamewatahadhirisha madereva wengine kutokwenda Kongo kwa sasa.