Wakongomani 10,000 wameitikia wito wa kujiunga na jeshi ndani ya mwezi mmoja

Wakongomani 10,000 wameitikia wito wa kujiunga na jeshi ndani ya mwezi mmoja

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Ile mobilisation aliyoianzisha rais Tshisekedi ni kama inaanza kuzaa matunda, vijana wanaonekana kuwa na morali na hasira kali sana. Japo sijajua uiamara wa mafunzo yao, ila kwa kinachoendelea, nadhani at some point Kagame itabidi afanye reassessment ya alichokuwa anakifanya Congo.

Kama vita vitazuka kati ya Congo na Rwanda, Rwanda wanaweza kujikuta kwenye hali ngumu sana, hususani kwasababu ni nchi ndogo na pia ni land locked country. Logistic inaweza kuwa ngumu sana kwao kuweza kupata supply ya silaha. Option inaweza kuwa ni kupitia Tanzania, au kupitia Uganda kupitia Kenya. Ila pia ukiangalia vizuri sana historia ya Kagame na Tanzania pia kuna mushikeli mkubwa, hususani pia JK kipindi fulani alitaka kuzichapa na Kagame.

Njia ya uhakika nadhani labda itakuwa ni Uganda ambayo naweza sema ndo kama rafiki wa Rwanda.

So my take ni kwamba, Congo inavyonesha dhamira ya kupigania ardhi yake, hiyo inakuwa hatari sana kwa Kagame, japo wanasema wanajeshi wa Rwanda ni strong ila ni ngumu sana pia kupigana na adui mwenye wanajeshi wengi kama Congo.

So hapa nadhani Kagame itabidi abadili gia angani, kwasababu huyu Tshisekedi ni kama haya maji ameyavulia nguo, na inavyoonekana hapa, next year 2023, lazima kuna uwezekano mkubwa kikanuka kati ya Congo na Rwanda.
 
Hayo mambo ya idadi ya watu, yana nafasi finyu sana katika kuweka uhakika wa DRC kutoboa.

Unachopaswa kujua ni kuwa, vijana hao inabidi wapate mafunzo walau ya miezi mitatu kabla ya kuingia jeshini na hatimae vitani.

Usisahau kuwa baina ya hao vijana wengi, wapo idadi kubwa tu ambao hawajaingia kwa morali bali kwa kukimbia maisha magumu na dhiki.

Russia ina idadi kubwa sana ya Wanajeshi, ila mpaka sasa imeshindwa kushinda vita dhidi ya Ukraine..

Mambo ya vita hayazungumzwi kirahisi Mkuu.

Hata hivyo, hakuna vita yoyote kati ya DRC na Rwanda.
 
Hayo mambo ya idadi ya watu, yana nafasi finyu sana katika kuweka uhakika wa DRC kutoboa.

Unachopaswa kujua ni kuwa, vijana hao inabidi wapate mafunzo walau ya miezi mitatu kabla ya kuingia jeshini na hatimae vitani.

Usisahau kuwa baina ya hao vijana wengi, wapo idadi kubwa tu ambao hawajaingia kwa morali bali kwa kukimbia maisha magumu na dhiki.

Russia ina idadi kubwa sana ya Wanajeshi, ila mpaka sasa imeshindwa kushinda vita dhidi ya Ukraine..

Mambo ya vita hayazungumzwi kirahisi Mkuu.

Hata hivyo, hakuna vita yoyote kati ya DRC na Rwanda.
Ndo mana nikasema, kama Kagame asipobadili gia angani, mwaka 2023 ina maana hawa watu watakuwa tayari na training ya zaidi ya miezi hiyo mitatu. By the way, huwezi ku down play idadi ya wanajeshi kwamba sio factor. Ni factor kubwa.
 
Ile mobilisation aliyoianzisha rais Tshisekedi ni kama inaanza kuzaa matunda, vijana wanaonekana kuwa na morali na hasira kali sana. Japo sijajua uiamara wa mafunzo yao, ila kwa kinachoendelea, nadhani at some point Kagame itabidi afanye reassessment ya alichokuwa anakifanya Congo.

Kama vita vitazuka kati ya Congo na Rwanda, Rwanda wanaweza kujikuta kwenye hali ngumu sana, hususani kwasababu ni nchi ndogo na pia ni land locked country. Logistic inaweza kuwa ngumu sana kwao kuweza kupata supply ya silaha. Option inaweza kuwa ni kupitia Tanzania, au kupitia Uganda kupitia Kenya. Ila pia ukiangalia vizuri sana historia ya Kagame na Tanzania pia kuna mushikeli mkubwa, hususani pia JK kipindi fulani alitaka kuzichapa na Kagame.

Njia ya uhakika nadhani labda itakuwa ni Uganda ambayo naweza sema ndo kama rafiki wa Rwanda.

So my take ni kwamba, Congo inavyonesha dhamira ya kupigania ardhi yake, hiyo inakuwa hatari sana kwa Kagame, japo wanasema wanajeshi wa Rwanda ni strong ila ni ngumu sana pia kupigana na adui mwenye wanajeshi wengi kama Congo.

So hapa nadhani Kagame itabidi abadili gia angani, kwasababu huyu Tshisekedi ni kama haya maji ameyavulia nguo, na inavyoonekana hapa, next year 2023, lazima kuna uwezekano mkubwa kikanuka kati ya Congo na Rwanda.
Nimefanya assessment ndogo more than 55% ya malori yanayokatiza hapa Lunzewe kuelekea NW ni usajili wa RA yakiwa yamesheheni mizigo ila yanarudi matupu. Naona kuna maandalizi kabambe yanaendelea.
 
Nimefanya assessment ndogo more than 55% ya malori yanayokatiza hapa Lunzewe kuelekea NW ni usajili wa RA yakiwa yamesheheni mizigo ila yanarudi matupu. Naona kuna maandalizi kabambe yanaendelea.
Fafanua babu!!..lunzewe iko wapi,NW ndiyo nini!?
 
Miongooni mwa vijana waliojiuga kuna mamruki kibao wa mr. Kagame, na pia siku ikitokea wamelegezeewa mshahara kidgo ? Ujue lajizma wagawanyike kuanzisha makundi binafisi ya uhasi.
 
Back
Top Bottom