THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 545
- 410
Hodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh! Pole sana.Nilipata msisimuko in negative way, kuna memba nilikuwa namkubali sana harakati zake, siku naingia JF nakutana na threads ametangulia mbele za haki. Niliumia sana kama namfahamu vile continue to rest in peace dear WARUMI , wewe jee tukio gani??
Hio ilikua uwongo!Ooh! Pole sana.
Huyu mtu kumbe alishatangulia mbele za haki?
Aendelee kupumzika kwa Amani.
Mimi ni tukio la binti mmoja kuibiwa na mtu anayeitwa Controller.
Mwamba alikuja na mi idea yake ya biashara, Dada akamwelewa wakaanza biashara,
Ile biashara wakalogwa wakachanganya na Mapenzi.
Controller akaanza kuchakata mbususu ya bidada.
Baada ya muda kumbe jamaa lengo lake halikuwa hilo wala nini, ni target ya kumpiga tu.
Dada akatoa pesa sijui ya nini huko, kama 400k hivi, jamaa akazama zake ndichi. [emoji2] [emoji3] [emoji1]
Ile kutaka moneyback jamaa akamchapa mkwara mzito.
Ishu ndio ikahamia hapa jukwaani sasa.
Daaah mdau akaanza kumsema bidada kuwa ana ma UTI n.k
Sijui kama pesa ilirudi. Ila mpaka leo nikimwona mwamba hapa jukwaani namwona kama Tapeli hivi...[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha huku akili za kuambiwa changanya na zako aisee, pole yake bidada. Ndio mkuu alishatangulia mbele za haki.Ooh! Pole sana.
Huyu mtu kumbe alishatangulia mbele za haki?
Aendelee kupumzika kwa Amani.
Mimi ni tukio la binti mmoja kuibiwa na mtu anayeitwa Controller.
Mwamba alikuja na mi idea yake ya biashara, Dada akamwelewa wakaanza biashara,
Ile biashara wakalogwa wakachanganya na Mapenzi.
Controller akaanza kuchakata mbususu ya bidada.
Baada ya muda kumbe jamaa lengo lake halikuwa hilo wala nini, ni target ya kumpiga tu.
Dada akatoa pesa sijui ya nini huko, kama 400k hivi, jamaa akazama zake ndichi. [emoji2] [emoji3] [emoji1]
Ile kutaka moneyback jamaa akamchapa mkwara mzito.
Ishu ndio ikahamia hapa jukwaani sasa.
Daaah mdau akaanza kumsema bidada kuwa ana ma UTI n.k
Sijui kama pesa ilirudi. Ila mpaka leo nikimwona mwamba hapa jukwaani namwona kama Tapeli hivi...[emoji3][emoji3][emoji3]
mbona sielewi wazee wezanguKaribu master
Nipo Kiongozi…za miaka?O.M.G siamini kama nakuona tena hapa.
Baada ya ukimya mrefu sana
Nzuri kabisa.
Yule mme wako yuko?
Hii issue ilitikisa sana balaaOoh! Pole sana.
Huyu mtu kumbe alishatangulia mbele za haki?
Aendelee kupumzika kwa Amani.
Mimi ni tukio la binti mmoja kuibiwa na mtu anayeitwa Controller.
Mwamba alikuja na mi idea yake ya biashara, Dada akamwelewa wakaanza biashara,
Ile biashara wakalogwa wakachanganya na Mapenzi.
Controller akaanza kuchakata mbususu ya bidada.
Baada ya muda kumbe jamaa lengo lake halikuwa hilo wala nini, ni target ya kumpiga tu.
Dada akatoa pesa sijui ya nini huko, kama 400k hivi, jamaa akazama zake ndichi. [emoji2] [emoji3] [emoji1]
Ile kutaka moneyback jamaa akamchapa mkwara mzito.
Ishu ndio ikahamia hapa jukwaani sasa.
Daaah mdau akaanza kumsema bidada kuwa ana ma UTI n.k
Sijui kama pesa ilirudi. Ila mpaka leo nikimwona mwamba hapa jukwaani namwona kama Tapeli hivi...[emoji3][emoji3][emoji3]