Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naye bwana...Iliniuma.
Ila nitamfanyizia kweli....naona anataka.
Hapo chacha.Achana naye bwana...
mpotezeyeeeee kimoja kwa gari gani kwa mfano!
Muda wowote ukiwa Tayari ingia skype mami.
Asante sana Blaki Womani nitakuwa napita pita kusalimia hapo nyumbani msije mkanisahau aise
Hakuna anayesahaulika kwao.......BTW mlisharudiana na mke wa ujana wako Dena Amsi 😀
Hey bro.
I miss you too lovey. How are things?
Thanks for the beautiful song.
Regards to Ma and Good night
Tized me nimekumiss hadi nimeamua ku-assume kuwa haupo tu, ili nisiendelee kukumiss lolGreat seeing you my love.
It has been awesome, Been out a while but all is well.
Returning soon.
Thanks for greetings, zitafika 🙂. Hi to my ankoz
Warm regards
Wewe ndo umeficha sukari nini
Wewe unaweza ukaguzi kweli?
Tized me nimekumiss hadi nimeamua ku-assume kuwa haupo tu, ili nisiendelee kukumiss lol
Awww neno moja, na nafsi yangu imepona kabisa. Kwa kweli let's go tukasomeshane namba tu, sitaki tena kuassume kama haupo[emoji23] [emoji23] [emoji23]I am missing you BIG. Heaven Sent Thank you. Halafu kuassume sipo nafasi yangu ndani ya moyo wako itachukuliwa na mafisi ujue 🙂
Inabidi weekend tuonane tukaisome namba. hahahaaaa
Unataka nianze kukukagua?Wewe unaweza ukaguzi kweli?
Jukwaa la Wakongwe ni kupeana salamu za kumisiana.Shukrani sana Mkuu, ubarikiwe Mkuu.
miss chagga hata ubinamu hautaki tena baada ya kufulia.Dena Amsi kwangu habanduki hata akisikia nina michepuko kumi yeye ni wa hapa hapa habanduki
miss chagga ndo alinikimbia baada ya kuishiwa
Ngoja kwanzaUnataka nianze kukukagua?
Shikamoo
Nina vingi sana vya kukunyima... Na nimedhamiria kukunyima tehVale sipokei shkamoo yako 🙂.
Unataka kuninyima nini mie mtoto wa mwanamke mwenzio.. Hahahahaa
Awww neno moja, na nafsi yangu imepona kabisa. Kwa kweli let's go tukasomeshane namba tu, sitaki tena kuassume kama haupo[emoji23] [emoji23] [emoji23]