Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ana kibamia ndio maana muoga
Hahahaaa. Madam unanichekeshaaaBazazi mwenzio kule hazai mpaka leo, popo kanyea mbingu hiyo, kategua korodani na bamia yake
Nafikiri alikuwa ni ChimbuvuBen Saanane na Madame B, kuna mwanajeshi aliingilia kati hapa simkumbuki.
Niliolewa na nitonye pia baada ya zubedayo_mchuzi
Iwe hivi sasa...
Bila kujali muda na Umri wako Jf
Chit chat iamke!!
Wakongwe Hoyeee.
Nitakuja na list muda sio mrefu.
miss chagga upo?
Una kila sababu yakutunukiwa crown ya ukongwe! I miss those old time here,
Mr Rocky sitaki kuamini kuwa vidole vimezeeka and u can't write
To be continued...
We chamaa... hapa ndo mahali muafaka wa kufufua makoloni yetu....[emoji1] [emoji106]Hahahahahaaaaa..... Wakongwe??!! Really?