Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukija PM utakubali tu heheheHa haa wala usije coz sina ukweli zaidi ya huu... Huyu ngosha sijawahi hata kumuona tunaishiaga tu humu humu bana
Huyo Super star anakufahamu vizuri, uliwahigi kumsaidia kitu, kuna kipindi alikuwaga na shida na akaitangaza humu..Hahahaaaa Mangi bana...you crack me up man.
Kwa hiyo sasa ina maana huyo supastaa naye nimeshamla na sasa anaona wivu kwa mwenzake hadi kuanza kumwita beki tatu?
JF kiboko aisee.
Huyo Super star anakufahamu vizuri, uliwahigi kumsaidia kitu, kuna kipindi alikuwaga na shida na akaitangaza humu..
Ila la kumla super star sina hakika..
Ha haa we mchaga mwenzangu mambo yako si habaUkija PM utakubali tu hehehe
Ha haa wala usije coz sina ukweli zaidi ya huu... Huyu ngosha sijawahi hata kumuona tunaishiaga tu humu humu bana
Hivi my wii wewe ni mchaga?Ha haa we mchaga mwenzangu mambo yako si haba
Mie mngoni mwaya tehHivi my wii wewe ni mchaga?
Mie mngoni mwaya teh
Heheheheeeh mapenzi matamu[emoji8][emoji8][emoji7][emoji12][emoji12][emoji12]View attachment 371551 maaisha yenyewe mafupi haya
Oooh that's gud nitafutie kaka wa kingoni maana nasikia niwapole sanaMie mngoni mwaya teh
Hehehhe nilitoka kidogo naona umezimika na mkaanga samaki aka beki tatu kawazidi wenye phd zaoKheee we Msomali Koko umetokea wapi tena?
Hehehhe nilitoka kidogo naona umezimika na mkaanga samaki aka beki tatu kawazidi wenye phd zaoView attachment 371555
Upitie samaki wako nimekutunzia😀😀😀😀😀😀
Upitie samaki wako nimekutunzia
Mimi ni beki 4 halaf nakaanga samaki tuHivi we ni mkaanga samaki au muuza duka?😀
Mimi ni beki 4 halaf nakaanga samaki tu
Kumbe[emoji4]Wacha weee kumbe we 'mrembo' Mngoni eeh?
Mko watamu kweli nyie...