Wakongwe wa JamiiForums tujuane

Wakongwe wa JamiiForums tujuane

Members ambao wapo humu from
2006 2009...

Hao ni very earliest elites on matters related to internets...

To be very specific.. Members wa 2006, 2007, 2008. Hawa ndo kiboko.. Sio tu elites, lakini ni wasomi wazuri. Hapa utakutana na wanasiasa mahiri..lecturers..

Watu wa kawaida ktk kipindiki hiki basi jua walikuwa wanatoka familia bora.

Member wa kipindi cha 2010 - 2013... Hapa ndo tuko wengi sasa..baada ya kutoka vyuo na kupata vi simu vyenye internet. Kundi hili hata wajinga jinga wapo, na familia za kawaida tu.

Sasa kuanzia 2014 to date.... Hapo sasa ndo shida...ni kizazi cha ajabu JF...Kundi hili ndo kuna wale wa Division 5...Wale wA GPA... Ni fujofujo tu.

So we realy need to pay respect to the JF's veterans. 2006 - 8,9. Smart brains. Huwezi kuta wana ujinga ujinga humu.

Nisamehe atakaemaindii...😂😂😂😂😂😂
Kwa ulichokiandika hapa unaonekana shemeji yako ana kajiuwezo afu hapo mtaani kwenu wanakukoma
 
Members ambao wapo humu from
2006 2009...

Hao ni very earliest elites on matters related to internets...

To be very specific.. Members wa 2006, 2007, 2008. Hawa ndo kiboko.. Sio tu elites, lakini ni wasomi wazuri. Hapa utakutana na wanasiasa mahiri..lecturers..

Watu wa kawaida ktk kipindiki hiki basi jua walikuwa wanatoka familia bora.

Member wa kipindi cha 2010 - 2013... Hapa ndo tuko wengi sasa..baada ya kutoka vyuo na kupata vi simu vyenye internet. Kundi hili hata wajinga jinga wapo, na familia za kawaida tu.

Sasa kuanzia 2014 to date.... Hapo sasa ndo shida...ni kizazi cha ajabu JF...Kundi hili ndo kuna wale wa Division 5...Wale wA GPA... Ni fujofujo tu.

So we realy need to pay respect to the JF's veterans. 2006 - 8,9. Smart brains. Huwezi kuta wana ujinga ujinga humu.

Nisamehe atakaemaindii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hebu tupe heshima yetu na sisi wa 2014 - 2019 usituchanganye na hawa wa kuanzia 2020 to date [emoji16][emoji16]
 
hebu nichekieni na mimi nazeekea humu humu....nilipojiunga tu nikala videmu vitatu vya JF sijui viko wapi sasa!
 
Sure unabadili,mimi pia nilitumia jina langu mwanzoni sababu ya ugeni na ikawa inanipa tabu kuwa huru. Muandikie Moderator request ya kubadili jina na uwaambie unataka jina gani
Mkuu siku hizi haipo hiyo ya hadi uonane na 'kuhani' akusaidie kubadili 'matendo'. Pazia la 'kuhani' lilishachanika siku nyingi, siku hizi ni wewe mwenyewe unabadili tu 'matendo' yako popote ulipo na wakati wowote na unakubaliwa, (mradi tu muda usiwe chini ya mwezi mmoja tangu ulipobadili mara ya mwisho). [emoji16][emoji16]
 
Kumbe na mie wa kitambo... account yangu ya Jambo Forum nilisahau password.
Polish_20211202_201121370.png
 
Enzi hizo jukwaa pendwa likiwa tech and gadgets, na JF store. Nokia N series(Symbian) zikiwa ndio kila kitu kwenye ulimwengu wa simu janja.
 
Tatizo ni kubadili Id's..baada ya kusahau pass word!
 
Back
Top Bottom