Inawezekana kubadili.Daaa! Ninakaribia ukongwe mkuu . Miaka 9 Sasa . Lakini pia niulize naweza kubadilisha ID yangu maana nimegungua humu JF memba wengi hawatumii majina Yao halisi na inawapa uhuru wa kufunguka zaidi jukwaani.
Kwa ulichokiandika hapa unaonekana shemeji yako ana kajiuwezo afu hapo mtaani kwenu wanakukomaMembers ambao wapo humu from
2006 2009...
Hao ni very earliest elites on matters related to internets...
To be very specific.. Members wa 2006, 2007, 2008. Hawa ndo kiboko.. Sio tu elites, lakini ni wasomi wazuri. Hapa utakutana na wanasiasa mahiri..lecturers..
Watu wa kawaida ktk kipindiki hiki basi jua walikuwa wanatoka familia bora.
Member wa kipindi cha 2010 - 2013... Hapa ndo tuko wengi sasa..baada ya kutoka vyuo na kupata vi simu vyenye internet. Kundi hili hata wajinga jinga wapo, na familia za kawaida tu.
Sasa kuanzia 2014 to date.... Hapo sasa ndo shida...ni kizazi cha ajabu JF...Kundi hili ndo kuna wale wa Division 5...Wale wA GPA... Ni fujofujo tu.
So we realy need to pay respect to the JF's veterans. 2006 - 8,9. Smart brains. Huwezi kuta wana ujinga ujinga humu.
Nisamehe atakaemaindii...ππππππ
Bado mutoto mudogo...tuache wakongwe tutambe...πππSince 2016
Npo
Mkuu hebu tupe heshima yetu na sisi wa 2014 - 2019 usituchanganye na hawa wa kuanzia 2020 to date [emoji16][emoji16]Members ambao wapo humu from
2006 2009...
Hao ni very earliest elites on matters related to internets...
To be very specific.. Members wa 2006, 2007, 2008. Hawa ndo kiboko.. Sio tu elites, lakini ni wasomi wazuri. Hapa utakutana na wanasiasa mahiri..lecturers..
Watu wa kawaida ktk kipindiki hiki basi jua walikuwa wanatoka familia bora.
Member wa kipindi cha 2010 - 2013... Hapa ndo tuko wengi sasa..baada ya kutoka vyuo na kupata vi simu vyenye internet. Kundi hili hata wajinga jinga wapo, na familia za kawaida tu.
Sasa kuanzia 2014 to date.... Hapo sasa ndo shida...ni kizazi cha ajabu JF...Kundi hili ndo kuna wale wa Division 5...Wale wA GPA... Ni fujofujo tu.
So we realy need to pay respect to the JF's veterans. 2006 - 8,9. Smart brains. Huwezi kuta wana ujinga ujinga humu.
Nisamehe atakaemaindii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu siku hizi haipo hiyo ya hadi uonane na 'kuhani' akusaidie kubadili 'matendo'. Pazia la 'kuhani' lilishachanika siku nyingi, siku hizi ni wewe mwenyewe unabadili tu 'matendo' yako popote ulipo na wakati wowote na unakubaliwa, (mradi tu muda usiwe chini ya mwezi mmoja tangu ulipobadili mara ya mwisho). [emoji16][emoji16]Sure unabadili,mimi pia nilitumia jina langu mwanzoni sababu ya ugeni na ikawa inanipa tabu kuwa huru. Muandikie Moderator request ya kubadili jina na uwaambie unataka jina gani
πππTutake radhi..
data... Ni kati ya ID kongwe humu.Unataka!!?
Sioni faida.. Maana sijawahi pata demu humu.
Tisha sanaMember kitambo sana tangu Jambo forum.....
πππTisha sana
You must be somebody.