Wakongwe wa JamiiForums tujuane

Wakongwe wa JamiiForums tujuane

I'd yangu ya kwanza 2007 mwaka wangu wa mwisho kazini ndio najiunga jf

Very long long time
 
12 Yrs, kitambo sana. Nikijiunga jf 2009 bt kutumia rasmi nilianza october 2010 kwenye uchaguzi mkuu
 
Members ambao wapo humu from
2006 2009...

Hao ni very earliest elites on matters related to internets...

To be very specific.. Members wa 2006, 2007, 2008. Hawa ndo kiboko.. Sio tu elites, lakini ni wasomi wazuri. Hapa utakutana na wanasiasa mahiri..lecturers..

Watu wa kawaida ktk kipindiki hiki basi jua walikuwa wanatoka familia bora.

Member wa kipindi cha 2010 - 2013... Hapa ndo tuko wengi sasa..baada ya kutoka vyuo na kupata vi simu vyenye internet. Kundi hili hata wajinga jinga wapo, na familia za kawaida tu.

Sasa kuanzia 2014 to date.... Hapo sasa ndo shida...ni kizazi cha ajabu JF...Kundi hili ndo kuna wale wa Division 5...Wale wA GPA... Ni fujofujo tu.

So we realy need to pay respect to the JF's veterans. 2006 - 8,9. Smart brains. Huwezi kuta wana ujinga ujinga humu.

Nisamehe atakaemaindii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kuwa na adabu we jamaa, hakunaga tuzo za kutangulia ktk jambo fulan ama tuzo za kudumu ktk jambo fulan kwa muda mrefu, bali kuna tuzo za kuwa na good contents ktk jambo fulan bila kujali muda.

mm nilikuwa JF since2014 then nkaja kujiunga tena officially mwaka2018 kipind ambacho mnawadharau sana kuwa ni wapuuzi, lkn nikwambie tu, nikusanyie hao mapimbi wote waliojoin 2006-008 tumjue nan smarter than[emoji23]....
 
Nimemkumbuka PakaJimmy Preta na wengine tulikuwa zetu JF Arusha wing mara kibao tukifanya get together na mitoko mingine ya kijamii....
 
Mu wapi wakongwe wa JF

Aspirin
FaizaFox
Nyani Ngabu
Teamo
Husninyo
Kaizer
na wengineo ambao tulichagiza JF mpaka mwaka 2012 ? Tafadhali wakuu nisaidieni kufikisha salamu
 
Back
Top Bottom