mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
na zile chai zako za sijui mnigeria, msomaliNaonaga X wanazisifia kwenye RT zangu basi naishiaga kucheka..!! ๐น
Nilikuwa na kibuzi changu cha kishua kinasoma Feza boys kikanihonga HTC smart phone.!!
Sasa nikaanza kuitumia kuna kitu nilikuwa natafuta nikajikuta nimeingia JF,
Nikaipotezea nimekuja kuwa active 2023 basi ndo mpk leo nipo..!! Hapo niko under 18. ๐คฃ
Umeingia mwaka ganiNaonaga X wanazisifia kwenye RT zangu basi naishiaga kucheka..!! ๐น
Nilikuwa na kibuzi changu cha kishua kinasoma Feza boys kikanihonga HTC smart phone.!!
Sasa nikaanza kuitumia kuna kitu nilikuwa natafuta nikajikuta nimeingia JF,
Nikaipotezea nimekuja kuwa active 2023 basi ndo mpk leo nipo..!! Hapo niko under 18. ๐คฃ
Acha utani basi mzee wangu..... Kwa wale waliozaa na miaka 19.. 20 hapo unakuwa mzazi wangu bila kukwepa ๐๐Braza kabisa na mzee pia wa 45
Bahati nzur nilizaa nikiwa na 34,,,first born wangu ana 11 nowAcha utani basi mzee wangu..... Kwa wale waliozaa na miaka 19.. 20 hapo unakuwa mzazi wangu bila kukwepa ๐๐
Ntakupa heshima yako sasa.....
Hata hivyo so mdg hongeraBahati nzur nilizaa nikiwa na 34,,,first born wangu ana 11 now
Hata hivyo ni vizur coz ningezaa mapema matokeo yake mnajikuta na mwanao mnapambania vibinti vya 2000 ๐๐
Miaka 35 sio kijana mdogo ni babu vile vile hasa ukizingatia umri wa kuishi kwa tanzania upo chini.๐ Mimi kijana mdogo sana miaka 35 acha nijichukulie madini kwenu babu zangu
Nyie ama mle mashangazi au videmu vyenu vipo chekechea mvisubiri vikueHata hivyo so mdg hongera
Basi upo na sisi kwenye kupambania๐ daah kazi sana
Batch mpya ya 2005 ipo ya kutosha Mimi kiuhalisia mwanamke akinizd umri sipati mzuka Bora nisijue nikujua aah ttzNyie ama mle mashangazi au videmu vyenu vipo chekechea
Vya 2000 mtuachie sie wazee wenu
Kama ulikuwepo vile....yaani full mautamKina mzabzab nahisi walikuwa member wa mwanzo raha tupu ๐น๐น๐คฃ๐คฃ
Afadhali umemchana nikamwonea huruma maana anasema yeye ni kijana mdogo,nikasema hamjui mangi huyu atamchana tu๐๐Miaka 35 sio kijana mdogo ni babu vile vile hasa ukizingatia umri wa kuishi kwa tanzania upo chini.
Miaka 30 hakuna kijana mdogo mkuu , huwa ni umri wa kustaafu kabisa kwa mtu alie jipanga, sema ni vile tu maisha yetu kibongo bongo yana harakati nyingi za pimbi .Afadhali umemchana nikamwonea huruma maana anasema yeye ni kijana mdogo,nikasema hamjui mangi huyu atamchana tu๐๐
๐๐๐ mangi we noma kwahiyo anafaa astafu na kupata pensheniMiaka 30 hakuna kijana mdogo mkuu , huwa ni umri wa kustaafu kabisa kwa mtu alie jipanga, sema ni vile tu maisha yetu kibongo bongo yana harakati nyingi za pimbi .
Kabisa mkuu sema nini , maelimu yanapoteza sana mda ukizingatia unasoma tu upo chuo bila kufanya kazi ya kukuingizia kipato, unatoka chuo huna mia mbovu wala mishe na ujuzi wowote kitaa , huo ni msiba bwashee.๐๐๐ mangi we noma kwahiyo anafaa astafu na kupata pensheni
Utawachanganya hawa watu ujue๐๐
Kweli kabisa expert wangu,elimu inatuchukulia miaka mingi sana,hatimaye unaanza maisha tayar uzee huu hapaKabisa mkuu sema nini , maelimu yanapoteza sana mda ukizingatia unasoma tu upo chuo bila kufanya kazi ya kukuingizia kipato, unatoka chuo huna mia mbovu wala mishe na ujuzi wowote kitaa , huo ni msiba bwashee.
Ndio maana mtu akipata fursa ya kukaa sehemu kuna upenyo wa kuiba pesa anazipiga kisawasawa ili kukimbizana na mda.Kweli kabisa expert wangu,elimu inatuchukulia miaka mingi sana,hatimaye unaanza maisha tayar uzee huu hapa
1st born wangu anamaliza chuo mwaka huu na nilichelewa wkt nasoma! JF nimejiunga 2007 wkt huo nishakua afisa wa serikali miaka 5 nyuma. So tunasonga sana๐น๐น๐น humu tupo na baba zetu
Hahahahah dah mbali sana mkuu๐Watoto wa 2000 hawawezi kuelewa hizi changamoto..๐
View attachment 3204417
Mkuu kwa jinsi chudai zilivyombali humo x twitter, sikutegemea uzijue kiurahisi ina onekana unastahili nyota kwenye hivyo viunga bwashee.cheupe dawa chudai ni porno za kihindi. kumbe unaangalia?
halafu wewe ulijiunga jf ukiwa na umri gani account ya 2015 sio mchezo
Etugrul Bey mzee ๐ Huyu kijana anasema miaka 35๐ wakati kina TID na q chief bado wanaish kwao hapo mmoja ni 1981/1982 qChiefMiaka 35 sio kijana mdogo ni babu vile vile hasa ukizingatia umri wa kuishi kwa tanzania upo chini.
Kweli kabisa expert wangu,elimu inatuchukulia miaka mingi sana,hatimaye unaanza maisha tayar uzee huu hapa
Miaka 20 nipo form two๐Acha utani basi mzee wangu..... Kwa wale waliozaa na miaka 19.. 20 hapo unakuwa mzazi wangu bila kukwepa ๐๐
Ntakupa heshima yako sasa.....