Wakongwe wenzangu mnakumbuka wapi?

na zile chai zako za sijui mnigeria, msomali
 
Umeingia mwaka gani
 
Acha utani basi mzee wangu..... Kwa wale waliozaa na miaka 19.. 20 hapo unakuwa mzazi wangu bila kukwepa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Š

Ntakupa heshima yako sasa.....
Bahati nzur nilizaa nikiwa na 34,,,first born wangu ana 11 now

Hata hivyo ni vizur coz ningezaa mapema matokeo yake mnajikuta na mwanao mnapambania vibinti vya 2000 ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Afadhali umemchana nikamwonea huruma maana anasema yeye ni kijana mdogo,nikasema hamjui mangi huyu atamchana tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Miaka 30 hakuna kijana mdogo mkuu , huwa ni umri wa kustaafu kabisa kwa mtu alie jipanga, sema ni vile tu maisha yetu kibongo bongo yana harakati nyingi za pimbi .
 
Miaka 30 hakuna kijana mdogo mkuu , huwa ni umri wa kustaafu kabisa kwa mtu alie jipanga, sema ni vile tu maisha yetu kibongo bongo yana harakati nyingi za pimbi .
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mangi we noma kwahiyo anafaa astafu na kupata pensheni

Utawachanganya hawa watu ujue๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mangi we noma kwahiyo anafaa astafu na kupata pensheni

Utawachanganya hawa watu ujue๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kabisa mkuu sema nini , maelimu yanapoteza sana mda ukizingatia unasoma tu upo chuo bila kufanya kazi ya kukuingizia kipato, unatoka chuo huna mia mbovu wala mishe na ujuzi wowote kitaa , huo ni msiba bwashee.
 
Kabisa mkuu sema nini , maelimu yanapoteza sana mda ukizingatia unasoma tu upo chuo bila kufanya kazi ya kukuingizia kipato, unatoka chuo huna mia mbovu wala mishe na ujuzi wowote kitaa , huo ni msiba bwashee.
Kweli kabisa expert wangu,elimu inatuchukulia miaka mingi sana,hatimaye unaanza maisha tayar uzee huu hapa
 
Kweli kabisa expert wangu,elimu inatuchukulia miaka mingi sana,hatimaye unaanza maisha tayar uzee huu hapa
Acha utani basi mzee wangu..... Kwa wale waliozaa na miaka 19.. 20 hapo unakuwa mzazi wangu bila kukwepa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Š

Ntakupa heshima yako sasa.....
Miaka 20 nipo form two๐Ÿ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ