Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Si wapo kwa wazazi wo?Etugrul Bey mzee 😅Huyu kijana anasema miaka 35😅wakati kina TID na q chief bado wanaish kwao hapo mmoja ni 1981/1982 qChief
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wapo kwa wazazi wo?Etugrul Bey mzee 😅Huyu kijana anasema miaka 35😅wakati kina TID na q chief bado wanaish kwao hapo mmoja ni 1981/1982 qChief
Eeh wapo kwa wazazi waoSi wapo kwa wazazi wo?
Si ndiko waliko zaliwa,shida iko wapi?Eeh wapo kwa wazazi wao
Huo umr mzee 43+ Dah ni fedheha aseehSi ndiko waliko zaliwa,shida iko wapi?
Mbona ulichelewa ? Mimi nilikuwa nimeshatoka fom six plus JKT tyr.... Nilikuwa 19Miaka 20 nipo form two😅
Mbona ulichelewa ? Mimi nilikuwa nimeshatoka fom six plus JKT tyr.... Nilikuwa 19
Sasa pale ndo nilianza kuwa active, nikawachemshia chai nikajikuta nimezamia mazima 😹😹😹na zile chai zako za sijui mnigeria, msomali
nimalizie PM😋Sasa pale ndo nilianza kuwa active, nikawachemshia chai nikajikuta nimezamia mazima 😹😹😹
Siku nikitulia ntawaletea chai nyingine najua lazima watatokea wenye visukari vyao tuanze ligi 😹🤣🤣🤣
Nimekumbuka nimecheka ulikuwa unanisumbua kweli nimalizie story
Cha Tanu 😹Umeingia mwaka gani
Nakisia umri wako itakuwa 1988Cha Tanu 😹
Kamoo baba 😹1st born wangu anamaliza chuo mwaka huu na nilichelewa wkt nasoma! JF nimejiunga 2007 wkt huo nishakua afisa wa serikali miaka 5 nyuma. So tunasonga sana
Dah.!! Hakuna cha kukisia sema unataka kujua nna miaka mingapi 😹😹😹Nakisia umri wako itakuwa 1988
😹😹 Wacha weeh..!!nimalizie PM😋
😹😹😹 mzabzab ukifa jeneza lako liwe na muundo wa mbususuKama ulikuwepo vile....yaani full mautam
Fedhea gani wakati wapo kwao?Huo umr mzee 43+ Dah ni fedheha aseeh
Hapana ndo umri huo sasa mbn hata 30 bado 😂..... Nikifikria,30 kichwa kinawaka moto..... Vibaya mno 😂Ulikuwa unawahi wapi mkuu miaka 19😅afu huez amini nilikuwa mdogo wengne 23 24, kufika form four ni kuacha tu shule s unajua tena kijijini
mkuu hela unayo?? kama huna hela huu uzi ni nonsense
Kwa sisi weusi ili uonekane wewe ni mpambanaji lazima kwenye hadithi zako ziwemo zile sentences za maisha fulani magumu from scratch mtu mwenye aliyepewa mabilion na wazazi tz anadharaulika kuliko mtu aliyeanzia matopeniFedhea gani wakati wapo kwao?
Mbona jamii nyingine zinakaa kwao na wake zao,hiyo ni mitazamo yetu