Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Mara kwa Mara ukiiangalia taarifa za habari utakutana na watu wanaoitwa wakopeshaji umiza. Hawa ni shylocks kwa lugha ya Kiingereza au ukipenda waite "mashailoki". Hawa jamaa wanawakopesha watumishi wa uma kwa masharti makali na ya aibu mno.
Kwanza riba ni kubwa sana inaanzia 40%+ lakini pia watumishi wa umma wanatakiwa kuacha kadi kwa Shylock huyo pamoja na namba ya Siri halafu mshahara ukitoka yule Shylock ndio anaenda kumchukulia mtumishi mshahara. Hii ni aibu mno kwenu watumishi wa umma.
Cha kushangaza hata wastahafu maskini ya Mungu wanapigwa mno na Hawa jamaa. Yani wakijua mwalimu Makonda mfano anastahafu mwezi ujao wanamfwata au wanatuma madalali wao kumshawishi mwalimu Makonda akope hela na wanampa mfano kwakuwa riba Yao ni 40% wanamfwata mwalimu Makonda mwenye shida lukuki wanamwambia sisi tunakupa milioni kumi Ila hela yako ikitoka utatulipa milioni 14 mwalimu Makonda anapiga hesabu anaona kiinua mgongo chake akilipwa mwezi ujao atapata 60,000,000/= anaona kutoa milioni nne ni Jambo dogo Bora avute hiyo kumi fasta.
Maskini ya Mungu kiinua mgongo hakitatoka kwa muda aliodhani hivyo atapigwa riba kila mwezi labda ya laki Saba hivyo Kama kiinua mgongo kitakaa miezi kumi inamaana atalipa milioni Saba Kama penalty ya kuchelewesha mkopo.
Mwisho wa siku mwalimu anajikuta anapoteza milioni 21 kwa Shylock kea njia ya kitapeli.
Baadae mwanasiasa anakujankumtetea mwalimu huyo ili arudishiwe hela zake tumeona haya yakifanywa na wakuu wa mikoa kupitia takukuru.
Mwalimu Makonda anaenda kuanikwa mbele ya kamera dunia nzima inamuona kwamba alikopa kea mkopeshaji umiza na akapigwa hela nasasa mkuu wa mkoa kamsaidia hela zimerudi. Hii ni fedheha kubwa mno kwa walimu wetu na manesi maana ndio wakopaji wakubwa. Chaneli zote za TV Tanzania zinamwonyesha mwalimu Makonda alieacha kadi kwa Shylock aibu mnooooo.
Mbaya zaidi.
Nasikia watumishi wa mabenki wanamgao wao kutoka kwa hawa jamaa.
Watumishi wa mabenki wanafanya kazi mbili.
1. Kuwaambia mashylock kwamba Leo mshahara unaingizwa usiku hivyo mkae tayari na kadi.
2. Watumishi wa mabenki huwatonya mashylock chochote kinachoendelea katika akaunti ya mwalimu Makonda au hata akitaka kuattempt kubadilisha kadi.
Wasichojua watumishi wa umma ni Nani kawasababishia haya yote?
Watumishi wa umma mpaka mnadhalilishwa mbele ya kamera kwamba mnakopa kwa wakopeshaji umiza hamumjui mbaya wenu?
Niliona eti mtwara polisi wamekamata kadi za benki 600 ambazo nyingi ni za walimu na manesi.
Wengi wa wakopeshaji umiza Hawa wanatoka mkoa wa Mara fita ni find muraaaaa.
Poleni sana walimu na manesi mkipata nafasi ya kutumia akili kila baada ya miaka mitano itumienii.
Mashylock oyeeeeeeee.
Kama mayahudi yaniiii.
Kwanza riba ni kubwa sana inaanzia 40%+ lakini pia watumishi wa umma wanatakiwa kuacha kadi kwa Shylock huyo pamoja na namba ya Siri halafu mshahara ukitoka yule Shylock ndio anaenda kumchukulia mtumishi mshahara. Hii ni aibu mno kwenu watumishi wa umma.
Cha kushangaza hata wastahafu maskini ya Mungu wanapigwa mno na Hawa jamaa. Yani wakijua mwalimu Makonda mfano anastahafu mwezi ujao wanamfwata au wanatuma madalali wao kumshawishi mwalimu Makonda akope hela na wanampa mfano kwakuwa riba Yao ni 40% wanamfwata mwalimu Makonda mwenye shida lukuki wanamwambia sisi tunakupa milioni kumi Ila hela yako ikitoka utatulipa milioni 14 mwalimu Makonda anapiga hesabu anaona kiinua mgongo chake akilipwa mwezi ujao atapata 60,000,000/= anaona kutoa milioni nne ni Jambo dogo Bora avute hiyo kumi fasta.
Maskini ya Mungu kiinua mgongo hakitatoka kwa muda aliodhani hivyo atapigwa riba kila mwezi labda ya laki Saba hivyo Kama kiinua mgongo kitakaa miezi kumi inamaana atalipa milioni Saba Kama penalty ya kuchelewesha mkopo.
Mwisho wa siku mwalimu anajikuta anapoteza milioni 21 kwa Shylock kea njia ya kitapeli.
Baadae mwanasiasa anakujankumtetea mwalimu huyo ili arudishiwe hela zake tumeona haya yakifanywa na wakuu wa mikoa kupitia takukuru.
Mwalimu Makonda anaenda kuanikwa mbele ya kamera dunia nzima inamuona kwamba alikopa kea mkopeshaji umiza na akapigwa hela nasasa mkuu wa mkoa kamsaidia hela zimerudi. Hii ni fedheha kubwa mno kwa walimu wetu na manesi maana ndio wakopaji wakubwa. Chaneli zote za TV Tanzania zinamwonyesha mwalimu Makonda alieacha kadi kwa Shylock aibu mnooooo.
Mbaya zaidi.
Nasikia watumishi wa mabenki wanamgao wao kutoka kwa hawa jamaa.
Watumishi wa mabenki wanafanya kazi mbili.
1. Kuwaambia mashylock kwamba Leo mshahara unaingizwa usiku hivyo mkae tayari na kadi.
2. Watumishi wa mabenki huwatonya mashylock chochote kinachoendelea katika akaunti ya mwalimu Makonda au hata akitaka kuattempt kubadilisha kadi.
Wasichojua watumishi wa umma ni Nani kawasababishia haya yote?
Watumishi wa umma mpaka mnadhalilishwa mbele ya kamera kwamba mnakopa kwa wakopeshaji umiza hamumjui mbaya wenu?
Niliona eti mtwara polisi wamekamata kadi za benki 600 ambazo nyingi ni za walimu na manesi.
Wengi wa wakopeshaji umiza Hawa wanatoka mkoa wa Mara fita ni find muraaaaa.
Poleni sana walimu na manesi mkipata nafasi ya kutumia akili kila baada ya miaka mitano itumienii.
Mashylock oyeeeeeeee.
Kama mayahudi yaniiii.