Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mkristo ni barua ni lazima asomeke vizuri, aandikwe kwa mwandiko mzuri.
Mkristo ni chumvi ya ulimwengu, lazima atie ladha dunia ili dunia iwe mahali pazuri na salama kwa kuishi binadamu, wanyama, samaki, mimea na mazingira kwa ujumla.
Mkristo ni chombo cha haki, tetea haki inapodhulumia, tetea wanyonge na wanaoonewa. Haki za mashoga sio haki, hamna haki ya kutenda dhambi. Ushoga ni kama tu uuaji.
Mkristo ni chombo cha amani, hakikisha kwamba wewe ni mlinzi wa amani, sio unakuwa ndio mkorofi, mgomvi, mtukanaji na kila tabia mbaya ni yako.
Mkristo ni Wakili/ Mwakilishi wa Yesu Kristo. Hapa duniani hujaja kuzubaa, hapa unekuja kumwakilisha Yesu Kristo. Kumhubiri Kristo siyo lazima ushike microphone 🎤, matendo yako yanahubiri zaidi kuliko sauti. Wasaidie wahitaji, tembelea wagonjwa, wafariji wafiwa, hudumia jamii yako kikamilifu, tunza mazingira, hakikisha uko unique mpaka kila mtu atamani kuwa kama wewe. Sio ikitokea ajali wewe ndio unaenda kuwanyonga marehemu ili uwaibie simu zao.
Ndugu zangu Wakristo je tunasomekaje? Au sisi ndio wachawi namba moja kwenye mitaa tunayoishi?
Au sisi ndio kina Kaka Jambazi wenyewe? Tunavunja, tunaua, na kufanya kila ubaya?
Mathayo 6:33
[33]Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
But seek ye first the kingdom of God, and his righteousness; and all these things shall be added unto you.
Mkristo ni chumvi ya ulimwengu, lazima atie ladha dunia ili dunia iwe mahali pazuri na salama kwa kuishi binadamu, wanyama, samaki, mimea na mazingira kwa ujumla.
Mkristo ni chombo cha haki, tetea haki inapodhulumia, tetea wanyonge na wanaoonewa. Haki za mashoga sio haki, hamna haki ya kutenda dhambi. Ushoga ni kama tu uuaji.
Mkristo ni chombo cha amani, hakikisha kwamba wewe ni mlinzi wa amani, sio unakuwa ndio mkorofi, mgomvi, mtukanaji na kila tabia mbaya ni yako.
Mkristo ni Wakili/ Mwakilishi wa Yesu Kristo. Hapa duniani hujaja kuzubaa, hapa unekuja kumwakilisha Yesu Kristo. Kumhubiri Kristo siyo lazima ushike microphone 🎤, matendo yako yanahubiri zaidi kuliko sauti. Wasaidie wahitaji, tembelea wagonjwa, wafariji wafiwa, hudumia jamii yako kikamilifu, tunza mazingira, hakikisha uko unique mpaka kila mtu atamani kuwa kama wewe. Sio ikitokea ajali wewe ndio unaenda kuwanyonga marehemu ili uwaibie simu zao.
Ndugu zangu Wakristo je tunasomekaje? Au sisi ndio wachawi namba moja kwenye mitaa tunayoishi?
Au sisi ndio kina Kaka Jambazi wenyewe? Tunavunja, tunaua, na kufanya kila ubaya?
Mathayo 6:33
[33]Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
But seek ye first the kingdom of God, and his righteousness; and all these things shall be added unto you.