Wakristo kuna la kujifunza kupitia ndoa hizi

Wakristo kuna la kujifunza kupitia ndoa hizi

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Hii kauli ya "Ndoa ni Mwili mmoja" Kuna la kujifunza Kupitia hii mifano.

Hawa Ni waimbaji wa nyimbo za Injiri na walisema hayo Maneno.

Ikumbukwe wazi kua ndoa Nyingi za kikristo zinashida kutokana na hiyo kauli. Mwanamke Ni kiumbe Mwenye roho ya tofauti Kuliko viumbe Vyote Duniani.

Ndoa za kikristo zina shida Hapa kwenye mwili mmoja. Ingawa mi ni Mkristo Ila tutazame pia haya makanisa ya kilokole/ Makanisa Biashara, haya Makanisa yamekua Kama Wanawake yanatazama Faida ndomana ndoa zinazidi kuvunjika kila siku.

Pia haya Makanisa yamewatia Wanawake Tamaa zaidi, hakuna tena Upendo wa Dhati katika ndoa.

Pia haya Makanisa yana uzinzi/ Umalaya wa kimya kimya kwa kivuli Cha kusali au upendwa/Mpendwa tunasali Wote.

Hawa waimbaji au wanakwaya wanaongoza kwa migogoro:
1) Beatrice muhone
2) Rose Muhando
3) Bahati Bukuku
4) Martha Mwaipaja na sasa
5) Angel Bernad
6) Christina Shusho
7) Flora Mbasha.
8)...........
9).........
10).........

WALOKOLE: Mjifunze mnahubiri usafi na ndo wa kwanza kuvunja ndoa zenu.
 
FB_IMG_1712176258734.jpg
 
Nilichokiona hadi sasa ni kuwa wanawake wengi wanapenda ndoa kama status tu, waonekane wameolewa ila uhalisia wengi hawapo tayari kuzitumikia ndoa zao na ndio hao type ya kina Christina Shusho wanaosema wameamua kuachana na ndoa zao ili wakatimize malengo yao. Wapo wengi sana kwenye jamii zetu.
 
Sister osnach alivumilia hayo hayo mwisho yakamkuta mauti kisa ndoa
Nasemajeeeeeeee?
Mwanamke ukishindwa tokaaaaaa hujaolewa na MUNGU ila binadamu tu mwenye mapungufu kama yako
Tuachane na ndoa tue tuna sex kila mtu anapita kivyake.
 
Sister osnach alivumilia hayo hayo mwisho yakamkuta mauti kisa ndoa
Nasemajeeeeeeee?
Mwanamke ukishindwa tokaaaaaa hujaolewa na MUNGU ila binadamu tu mwenye mapungufu kama yako
Ivo yaan
 
Hii kauli ya "Ndoa ni Mwili mmoja" Kuna la kujifunza Kupitia hii mifano.

Hawa Ni waimbaji wa nyimbo za Injiri na walisema hayo Maneno.

Ikumbukwe wazi kua ndoa Nyingi za kikristo zinashida kutokana na hiyo kauli. Mwanamke Ni kiumbe Mwenye roho ya tofauti Kuliko viumbe Vyote Duniani.

Ndoa za kikristo zina shida Hapa kwenye mwili mmoja. Ingawa mi ni Mkristo Ila tutazame pia haya makanisa ya kilokole/ Makanisa Biashara, haya Makanisa yamekua Kama Wanawake yanatazama Faida ndomana ndoa zinazidi kuvunjika kila siku.

Pia haya Makanisa yamewatia Wanawake Tamaa zaidi, hakuna tena Upendo wa Dhati katika ndoa.

Pia haya Makanisa yana uzinzi/ Umalaya wa kimya kimya kwa kivuli Cha kusali au upendwa/Mpendwa tunasali Wote.

Hawa waimbaji au wanakwaya wanaongoza kwa migogoro:
1) Beatrice muhone
2) Rose Muhando
3) Bahati Bukuku
4) Martha Mwaipaja na sasa
5) Angel Bernad
6) Christina Shusho
7) Flora Mbasha.
8)...........
9).........
10).........

WALOKOLE: Mjifunze mnahubiri usafi na ndo wa kwanza kuvunja ndoa zenu.
nadhan na heading ya bandiko ingepaswa kua kama hitimisho kwamba Walokole kuna la kujifunza kwenye ndoa hizo 🐒
 
Kuna nguvu kubwa katika uamsho/ wokovu usipokuwa makini utashindwa kubalance mambo ya mwilini na rohoni.

Ni hivi, ukishaokoka unakuwa unaongozwa na Roho Mtakatifu, hapo mwili unakuwa kama umelala Sasa unaongozwa na Roho...

Sijui niwekeje muelewe, yaani yule Donatila wa ndani anakuwa active zaidi ya Donatila wa mwilini.

Ukiokoka haya mambo ya Dunia, unaona kawaida sana, hata ndoa, yawezekana unapenda tendo la ndoa ila ghafla kiu inapotea.

Yaani Kuna wakati unamuona mumeo kama kaka yako tu, sorry si kwa ubaya.

Najaribu kuwaelewesha maana nimepitia haya 2023, yaani hakuna aliyeweza kunielewa hata mume wangu.

Hitimisho:
Kuna umuhimu wa elimu ya Uamsho/ Wokovu kwa watu wote hasa waliooana yaani wanandoa. Kwakuwa Uamsho ukiingia ndani yako unabadili na kuathiri hali ya mwilini sana.

Ni muhimu kujifunza kubalance ili uweze kufanya vyote kwa pamoja.

Ikumbukwe Uamsho/ Wokovu unamaana kubwa katika kueneza injili ya Bwana Yesu.
 
Kuna nguvu kubwa katika uamsho/ wokovu usipokuwa makini utashindwa kubalance mambo ya mwilini na rohoni.

Ni hivi, ukishaokoka unakuwa unaongozwa na Roho Mtakatifu, hapo mwili unakuwa kama umelala Sasa unaongozwa na Roho...

Sijui niwekeje muelewe, yaani yule Donatila wa ndani anakuwa active zaidi ya Donatila wa mwilini.

Ukiokoka haya mambo ya Dunia, unaona kawaida sana, hata ndoa, yawezekana unapenda tendo la ndoa ila ghafla kiu inapotea.

Yaani Kuna wakati unamuona mumeo kama kaka yako tu, sorry si kwa ubaya.

Najaribu kuwaelewesha maana nimepitia haya 2023, yaani hakuna aliyeweza kunielewa hata mume wangu.

Hitimisho:
Kuna umuhimu wa elimu ya Uamsho/ Wokovu kwa watu wote hasa waliooana yaani wanandoa. Kwakuwa Uamsho ukiingia ndani yako unabadili na kuathiri hali ya mwilini sana.

Ni muhimu kujifunza kubalance ili uweze kufanya vyote kwa pamoja.

Ikumbukwe Uamsho/ Wokovu unamaana kubwa katika kueneza injili ya Bwana Yesu.
Kama uamsho unasababisha ndoa ipoteze ladha utakuwa uamsho wa kuzimu
 
Kuna wanawake wengi wanaoolewa kea vile wanna vipato kidogo.

Mambo yao kiuchumi yakikaa sawa atataka ajitegemee
Nahili ndio kubwa mkuu kwa jamii za sasahivi,kuolewa kumekua kwa wanawake wasio na vipato ,wakijipata wanataka wajigemee nadhani nimgumu kwa mwanamke kua na kipato cha uhakika,fame halafu akawa mtulivu ndoani nikwa wanawake waliobalikiwa tu hasa kwa jamii za kileo.
 
Kiufupi mwanamke akiolewa ndoa ya kikristo(hasa hasa RC) lazima awe na kiburi, RC kutoa talaka ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano, mwanamke anakua na kiburi mnaweza hata kutengana ila kuvunja ndo ni kasheshe


Ndugu zangu waislam nawakubali sana, mtu unaweza kuleta mdomo ukaenda sokoni ukakutana na talaka mezani, dadek!!!
 
Hii kauli ya "Ndoa ni Mwili mmoja" Kuna la kujifunza Kupitia hii mifano.

Hawa Ni waimbaji wa nyimbo za Injiri na walisema hayo Maneno.

Ikumbukwe wazi kua ndoa Nyingi za kikristo zinashida kutokana na hiyo kauli. Mwanamke Ni kiumbe Mwenye roho ya tofauti Kuliko viumbe Vyote Duniani.

Ndoa za kikristo zina shida Hapa kwenye mwili mmoja. Ingawa mi ni Mkristo Ila tutazame pia haya makanisa ya kilokole/ Makanisa Biashara, haya Makanisa yamekua Kama Wanawake yanatazama Faida ndomana ndoa zinazidi kuvunjika kila siku.

Pia haya Makanisa yamewatia Wanawake Tamaa zaidi, hakuna tena Upendo wa Dhati katika ndoa.

Pia haya Makanisa yana uzinzi/ Umalaya wa kimya kimya kwa kivuli Cha kusali au upendwa/Mpendwa tunasali Wote.

Hawa waimbaji au wanakwaya wanaongoza kwa migogoro:
1) Beatrice muhone
2) Rose Muhando
3) Bahati Bukuku
4) Martha Mwaipaja na sasa
5) Angel Bernad
6) Christina Shusho
7) Flora Mbasha.
8)...........
9).........
10).........

WALOKOLE: Mjifunze mnahubiri usafi na ndo wa kwanza kuvunja ndoa zenu.
Dini zote ni Utapeli ila ukristo umezidi 🤣🤣

Ukiwa na akili timamu huwezi kuwa na mwanamke mmja labda kama unataka Kufa mapema
 
Back
Top Bottom