Wakristo kuna la kujifunza kupitia ndoa hizi

Wakristo kuna la kujifunza kupitia ndoa hizi

Nilichokiona hadi sasa ni kuwa wanawake wengi wanapenda ndoa kama status tu, waonekane wameolewa ila uhalisia wengi hawapo tayari kuzitumikia ndoa zao na ndio hao type ya kina Christina Shusho wanaosema wameamua kuachana na ndoa zao ili wakatimize malengo yao. Wapo wengi sana kwenye jamii zetu.
Kabisa wanawake wanaingia kwenye ndoa kama status tu basi, wengine wanaolewa ili kuondoa nuksi ila maisha ya udangaji na uhuni yanaendelea kama kawaida sana sana hawa mabinti wenye 27 kwenda juu.
 
Hii kauli ya "Ndoa ni Mwili mmoja" Kuna la kujifunza Kupitia hii mifano.

Hawa Ni waimbaji wa nyimbo za Injiri na walisema hayo Maneno.

Ikumbukwe wazi kua ndoa Nyingi za kikristo zinashida kutokana na hiyo kauli. Mwanamke Ni kiumbe Mwenye roho ya tofauti Kuliko viumbe Vyote Duniani.

Ndoa za kikristo zina shida Hapa kwenye mwili mmoja. Ingawa mi ni Mkristo Ila tutazame pia haya makanisa ya kilokole/ Makanisa Biashara, haya Makanisa yamekua Kama Wanawake yanatazama Faida ndomana ndoa zinazidi kuvunjika kila siku.

Pia haya Makanisa yamewatia Wanawake Tamaa zaidi, hakuna tena Upendo wa Dhati katika ndoa.

Pia haya Makanisa yana uzinzi/ Umalaya wa kimya kimya kwa kivuli Cha kusali au upendwa/Mpendwa tunasali Wote.

Hawa waimbaji au wanakwaya wanaongoza kwa migogoro:
1) Beatrice muhone
2) Rose Muhando
3) Bahati Bukuku
4) Martha Mwaipaja na sasa
5) Angel Bernad
6) Christina Shusho
7) Flora Mbasha.
8)...........
9).........
10).........

WALOKOLE: Mjifunze mnahubiri usafi na ndo wa kwanza kuvunja ndoa zenu.
lipi
 
Hawa waimbaji au wanakwaya wanaongoza kwa migogoro:
1) Beatrice muhone
2) Rose Muhando
3) Bahati Bukuku
4) Martha Mwaipaja na sasa
5) Angel Bernad
6) Christina Shusho
7) Flora Mbasha.
8)...........
9).........
10).........

WALOKOLE: Mjifunze mnahubiri usafi na ndo wa kwanza kuvunja ndoa zenu.
Hapo hakuna Mkatoliki hata mmoja. wote waprotestant
 
Nauliza Tman900 ndoa ya Beatrice Muhone ina shida gani? Mbona mnazushia watu mambo ya uongo

Kwa sababu nijuavyo mimi Beatrice Muhone na mume wake wanaishi poa tu kama wanandoa wengine na sijaona hayo unayomzushia
Na kama umemzushia Mhone ina maana ata hao wengine umewazushia.
 
Hii kauli ya "Ndoa ni Mwili mmoja" Kuna la kujifunza Kupitia hii mifano.

Hawa Ni waimbaji wa nyimbo za Injiri na walisema hayo Maneno.

Ikumbukwe wazi kua ndoa Nyingi za kikristo zinashida kutokana na hiyo kauli. Mwanamke Ni kiumbe Mwenye roho ya tofauti Kuliko viumbe Vyote Duniani.

Ndoa za kikristo zina shida Hapa kwenye mwili mmoja. Ingawa mi ni Mkristo Ila tutazame pia haya makanisa ya kilokole/ Makanisa Biashara, haya Makanisa yamekua Kama Wanawake yanatazama Faida ndomana ndoa zinazidi kuvunjika kila siku.

Pia haya Makanisa yamewatia Wanawake Tamaa zaidi, hakuna tena Upendo wa Dhati katika ndoa.

Pia haya Makanisa yana uzinzi/ Umalaya wa kimya kimya kwa kivuli Cha kusali au upendwa/Mpendwa tunasali Wote.

Hawa waimbaji au wanakwaya wanaongoza kwa migogoro:
1) Beatrice muhone
2) Rose Muhando
3) Bahati Bukuku
4) Martha Mwaipaja na sasa
5) Angel Bernad
6) Christina Shusho
7) Flora Mbasha.
8)...........
9).........
10).........

WALOKOLE: Mjifunze mnahubiri usafi na ndo wa kwanza kuvunja ndoa zenu.
Wahuni wachache wasifanye tikaharibu jina la uktisto, wengi wa hao hawana tofauti na bongo movie, wanatamani maisha ya starehe na udangaji huku wamejificha kwenye kivuli cha kumwimbia Mungu
 
Kabisa wanawake wanaingia kwenye ndoa kama status tu basi, wengine wanaolewa ili kuondoa nuksi ila maisha ya udangaji na uhuni yanaendelea kama kawaida sana sana hawa mabinti wenye 27 kwenda juu.
Wapo wengi mno sio hao tu wa 27+. Nilichobaini kwa ke walio wengi kadri umri unavyozidi kukua na tabia zinabadilika. Akiwa na 18 yrs ni tofauti kabisa akifikisha 25yrs.
 
Kuna nguvu kubwa katika uamsho/ wokovu usipokuwa makini utashindwa kubalance mambo ya mwilini na rohoni.

Ni hivi, ukishaokoka unakuwa unaongozwa na Roho Mtakatifu, hapo mwili unakuwa kama umelala Sasa unaongozwa na Roho...

Sijui niwekeje muelewe, yaani yule Donatila wa ndani anakuwa active zaidi ya Donatila wa mwilini.

Ukiokoka haya mambo ya Dunia, unaona kawaida sana, hata ndoa, yawezekana unapenda tendo la ndoa ila ghafla kiu inapotea.

Yaani Kuna wakati unamuona mumeo kama kaka yako tu, sorry si kwa ubaya.

Najaribu kuwaelewesha maana nimepitia haya 2023, yaani hakuna aliyeweza kunielewa hata mume wangu.

Hitimisho:
Kuna umuhimu wa elimu ya Uamsho/ Wokovu kwa watu wote hasa waliooana yaani wanandoa. Kwakuwa Uamsho ukiingia ndani yako unabadili na kuathiri hali ya mwilini sana.

Ni muhimu kujifunza kubalance ili uweze kufanya vyote kwa pamoja.

Ikumbukwe Uamsho/ Wokovu unamaana kubwa katika kueneza injili ya Bwana Yesu.
Una uhakika hizo ndoa zilizovunjika zilikumbwa na hiyo hali ya uamsho?
Ukichunguza nyingi kati ya hizo ndoa zilizovunjika, Uzinzi ndio unahusishwa zaidi, sasa inakuwaje mtu apate uamsho wa ndani kiasi cha kumfanya tena kusaka ngono nje ya ndoa?
 
Back
Top Bottom