Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

Mahari sio swala la kiimani wala si swala la kikristo. Mahari ni swala la kimila. Mila zetu za kiafrika katika hizi kabila zetu ndizo zinahizo tamaduni za mahari.

Ulaya mbona wakristo wapo nenda katazame kama wana mahari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka kusema ya kuwa muwe wakweli katika maneno yenu, kwamba hamna mafundisho ya ndoa kutoka kwa Yesu ndiyo chanzo cha migogoro hiyo kila mtu anaamua lake.
Mafundisho yenu mimi na nani? Umenikoti mimi ama sisi?.
Nb:, kwa kumbukumbu zako mada inahusu Mahari ama Ndoa?.
Unajua utofauti kati ya mahari na Ndoa?.
 
Na waislam kuachana ni kufumba na kufumbua,usisahau hilo
 
Sio kweli mkuu, mimi ni mkrosto na unapozungumzia mahari kwa sehemu moja au nyingine lazima uongozi wa kanisa uhusike na uthibitishe
Sijawahi kusikia kanisa linajihusisha na mambo ya mahari. Mahari inategemea na Mila na desturi za familia husika. It has nothing to do with ukristo
 
Jua tofauti Kati ya kubadili dini kuwa muislamu na kutunga ndoa ya kiislamu, ni vitu viwili tofauti.

Jamaa anataka mke wa kumuangalizia watoto wake.
Kama ni hivi basi hiyo sio ndoa ya kiislam hamnaga ndo katika imani yeyote ile baina ya dini mbili tofauti isipokuwa hizo wanazoziita za kiserikali au za kimila

Lakini kwa ndoa za kidini ni lazima wote wawe wa dini moja...wanaweza wakawa wa madhehebu tofauti ila dini lazima iwe moja... Kama ni ya kidini wote lazima wawe waislam ndio huyo sheikh afungishe ndoa au wawe wakristo ndio huyo mchungaji(padre) afungishe hiyo ndoa

Hiyo yakusema kuwa jamaa alifunga ndoa ya kiislam hali yakuwa hakubadili dini hapo unatutoa akili sisi au unawatoa akili hao mashekh au umejitoa akili wewe mwenyewe....hamnaga ndoa ya kiislam baina ya muislam na asiyekuwa muislam au ndoa ya kikristo na baina ya mkristo na asiyekuwa mkristo vinginevyo sema hao watu wamepeana mwanamke na sio eti kumefungwa ndoa hakuna kitu Kama iko abadan! Vinginevyo awe amedanganya kuwa ni muislam na Kama kafanya hivyo hapo bado hamna ndoa bali wamepeana wanawake tu hao
 
Nani alikuambia mahari inahusiana na dini! Mahari ni takwa la kabila kulingana na mila na desturi na wengi huishia kutomaliza na ndoa hufanyika bila kikwazo, usililijua uliza kabla haujalaumu.
 
Nani alikuambia mahari inahusiana na dini! Mahari ni takwa la kabila kulingana na mila na desturi na wengi huishia kutomaliza na ndoa hufanyika bila kikwazo, usililijua uliza kabla haujalaumu.
 
Mimi bado naziheshimu ndoa za waislam very cheap and nzuri na mwanamke kama amekulia kwenye dini hutakuja kujuta sema misimamo yao ya tofauti za didi otherwise i still opting to muslam ladies
Nani aliweka sheria wanawake waisilamu wasiolewe kwa mahari au kama ipo isizidi kiwango fulani!
 
Museveni si alipiga marufuku mahali? Au ilikuwa siasa tu.
 
Ulaya nchi zote zimejaa Atheist/ wasioamini dini. Jitahidi kutoa mfano wa nchi nyingine.
 
huna akili.
Kipimo kingine kujua mwanaume ana akili ni uwezo wa kulipa mahari.Kama hawezinhata kutafuta pesa ya mahari huyo akili hana hata kulisha na kutunza mkewe hawezi.Mkewe atakuja kufa njaa.zakili ni pamoja na uwezo wa kutafuta pesa ikiwemo ya mahari

Likiwa halina hilo bwege kuanzia kichwani kwenye akili yake
 
Kumbe na Mimi niliwahi kupata kichaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…