Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

Kwamba jamaa yako kabadilishwa dini na mbususu tena ya form four aiseee na unakuja kujisifia hapa. Si angebadili tu tangu mwanzo kuliko kutaka kujibebesha mganda asiyemuweza.
Jua tofauti Kati ya kubadili dini kuwa muislamu na kutunga ndoa ya kiislamu, ni vitu viwili tofauti.

Jamaa anataka mke wa kumuangalizia watoto wake.
 
Unapozungumzia mrembo ni chini ya miaka 20, hakuna mrembo wa miaka 37 tafadhali sana mkuu.
 
Utakuja kumuoza binti yako kwa jambazi au kidnapper
Majambazi malofa ndio maana hupora .Majambazi ni majitu ambayo hupora hata watoto wa watu na kuwaweka ndani bila kulipa mahari na kuishi nao kama mke na mume sababu malofa

Ukiona jitu hakitaki kulipa mahari jua hilo jambazi lofa linaloenda vya kupora
 
Yani 15M ya UG ni sawa na 9M ya TZ halafu 4M ya UG ni sawa na 3M ya TZ.?
Ila sisi wakristo tunazingua sana upande wa ndoa na mazishi, mambo kibao knoma.

Tatizo hupendi kufikiria. Nimesema 3 million tzs ni sawa na 4. Something Ugandan.
 

Attachments

  • Screenshot_20220905-112319.png
    20.4 KB · Views: 11

Hakuna watu wanapenda kutumia pesa vibaya kama majambazi/ kidnappers.
 
Sio kila kitu kiko ndani ya Biblia kingine ni mapokeo mazuri ya kijamii ya karne na karne mahari ikiwemo
Vizuri, ulichokiandika ndicho mleta mada alipaswa kukijua kabla hajaleta uzi wake.
Mapokeo yamewathiri wakristo especially insu ya mahari.
 
Unapozungumzia mrembo ni chini ya miaka 20, hakuna mrembo wa miaka 37 tafadhali sana mkuu.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Thamani ya mwanamke haipimwi kwa idadi ya watoto aliozaa.Mtoto wa kike wa bakhresa hata awe na watoto Kumi.akitaka kuolewa huwezi skatolewa kwa bei ya kutupwa

Thamani yake inakuwa determined pia na familia anayotokea

Kusema akizaa eti kidume chochote kikitokea sawa tu nyooo.Hakuna kwanza kama unajiona kina thamani kubwa si kiende kikaoe wasichana wasio na watoto

Kuoza mtu kuna hadhi sio kila bwege anaozeshwa
 
Kwa sisi waislamu mahari anaitaja binti mwenyewe kwa sababu yeye ndio anajua mtu wake ana uwezo kiasi gani.

Anaweza kusema anataka Msahafu sawa..

Hata usipo pokea mahari vado wahuni wata fanya yao
hiki ndicho mzazi anatakiwa askijue kuwa ukiendelea kumfanya biashara ataendelea kuliwa na kubebeshwa mimba hapo nyumbani hadi ukome........yaani wazazi badirikeni unamtoza mahari kubwa bado akiwa kwa mume wake bado mnahitaji aendelee kuwatunza na kuwahudumia tena kila siku simu za kulia shida kwa mkwe wenu haziishi bado mtoto wenu hajaamsha kichaa cha kuanza kumpa kisukari mume wake
 
Mi sijaona tatizo la mahari ila nimeona tatizo la Braza miaka 37 ukakavae kabint ka miaka 20 hapa wanaume ndio maana tunakufaga na presha.

Sio dunia ya Leo kuoa kabint ulikokapita miaka mingi.

Lazima katamsumbua tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…