Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

Tatizo wazazi wengi kutokana na umasikini au utajiri wao wanawapangia watu mahari nyingi ili wajikwamuwe kidogo.Sisi kwetu tulimwambia bint yetu we wamjuwa mumeo uwezo wake upange mahali wewe isije mtu akakimbia kisa eti hawezi kulipa mali.Hata mimi ukinikomoa nasepa.Bora nifanye biashara au kulima.
 
asilimia 100% upande wa wakristo ndio umeleta ugumu sana maswala ya ndoa japo kutojitafakari.

Haya mambo yanapelekea wakristo wengi kushindwa kuoa au kuolewa.

kuanzia ghalama za mahali mpaka sheree.

na tunajikuta wengi wetu tukiishi unyumba hata ndoa kufanyika.

ukitaka kufahamu we nenda makanisani yani unakuta familia lakini baba na mama hawakufunga ndoa na ndo wanafunga ndoa
 
asilimia 100% upande wa wakristo ndio umeleta ugumu sana maswala ya ndoa japo kutojitafakari.

Haya mambo yanapelekea wakristo wengi kushindwa kuoa au kuolewa.

kuanzia ghalama za mahali mpaka sheree.

na tunajikuta wengi wetu tukiishi unyumba hata ndoa kufanyika.

ukitaka kufahamu we nenda makanisani yani unakuta familia lakini baba na mama hawakufunga ndoa na ndo wanafunga ndoa
 
Nakazia
 
ACHA ubishi wewe makubaliano ya mahali yanaanzia ktk mazungumzo ya mwanaume na mwanamke then mwanamke anaenda kwao anasema kutokana na hali aliyonayo mchumba wangu mtarajiwa atamudu mahali kias fulani... Wazaz hawawez kutaja mahali bila kujua uwezo wa mwanaume... Huyo rafiki yako itakua alikua anaigiza maisha kwa huyo mwanamke kujionyesha ana pesa ili amu win mwanamke...
 
kama ni hivyo basi hawa wanawake wanaomkomoa mwanaume aliyeonyesha niya ya kumuoa ni mapoyoyo kwa kama wao ndiyo hupanga mahali basi
 
Hii ni kwa waislamu sio wakristo. Jamaa hela anayo hana njaa. Usicho kifahamu ni kwamba ukiwa una shika hela unakuwa na.nidhamu ya kuitumia pesa yako. Hutumii pesa hovyo kwa sababu unayo.

Unaanzaje kumuigizia maisha mwanamke single mother mwenye miaka 37 ili umu win moyo wake?

Jamaa anasema alizungumza na mwanamke before kuhusu hicho unacho kisema mwanamke akamwambia yeye hana mamlaka kuhusu mahari .

Jamaa alimwambia mwanamke aongee na mama ake mama aongee na baba, apozewe kwenye mahari na point ya jamaa kwa mwanamke ni kwamba hiyo mahari hata ikiwa nyingi kiasi gani yeye mwanamke na mama ake hawawezi kupata chochote italiwa na baba wadogo/wakubwa etc.


Inawexekana hiyo mahari waliyo taja ndio wame mpunguzia labda kwa.sababu wamejua jamaa ana.pesa kwa sababu pesa anayo kweli.
 
Jamaa yupo 37 anaoa "kibinti kibichi" angalau 18-20 hivi. Hapo ndoa itapumulia machine sio mda mrefu. Huyo alikuwa senior bachelor hawezi kuishi na mtoto mdogo.

Kuhusu mahari, ni tamaduni zetu wakristo, japo binafsi sioni umuhimu wa mahari lakini ndio utamaduni hatuna jinsi lazima tuishi hivyo.
 
Mwanamke ndie anaeafiki mume wake apewe mahari kiasi gani kulingana na uwezo wa mume wake,

sasa kama mwanamke wako kakubali uletewe bili ya 15m kama mahari na yeye anakenua tu meno,shida iko kwa wazazi au hata toto lenyewe ni tatzo?

mke wa kweli utamjua tangu mwanzo,akipunguza gharama na akikusaidia kwa namna flani upewe mahari ambayo unai mudu, ila kama mke ndio kakaa pembeni kama bidhaa ipo dukani halafu badae unasepa ndio anajitia kujiliza huo ni unafki.

Nitaendelea kusisitiza swala sio mahari,swala sio wazazi,sio wakristo shida ni hawa tunaotaka kuwaoa hawa wanawake ndio shida inapoanzia hapo.

mwanamke anakuona kabisa maisha yako ya kuchovya chovya ila picha linaanzia kwenye mahari ukitoka kwenye mahari movie linakuja kwenye HARUSI, ukiweza chomoka haya maeneo mawili salama, usimshukuru MUNGU ila mshukuru huyo mwanamke wako.

Hakuna Harusi kubwa yoyote ambayo imefanyika kwa ukubwa ule kama sio "mwanamke hajataka iwe hivyo" hakuna mahari yyte ile iliyolipwa kwa ukubwa ule "kama sio mwanamke ametaka" Diva alisema mahari yake ni 500mil (huo n mfano)

wanawake ndio hufanya mambo yawe mepesi au mambo kuwa magumu, Wanaume kuweni makini sana mnapochagua wanawake wa kuoa,eneo hilo ni la muhimu sana.

Mwanamke utakaemchagua leo ndio atakupa jibu la mahari utakayolipa na harusi utakayoifanya kwenye siku yenu.

Wanawake ni wengi lakini wanawake wakuolewa ni "wachache"
 
Vizuri, ulichokiandika ndicho mleta mada alipaswa kukijua kabla hajaleta uzi wake.
Mapokeo yamewathiri wakristo especially insu ya mahari.
Mbona kwangu mimi naona Mila na desturi za makabila ndio Zina determine mambo ya mahari.
Jamaa yangu alioa binti ya Mchungaji Mlokole, mchungaji huyo alibishana sana na ndugu zake waliotaka amdai kijana mahari ya ng'ombe tano (gharama ya ng'ombe mmoja laki 500,000) Mchungaji alikataa kabisa
Mwishoni alikubali kijana atoe blanket ya bibi na Vicente kwa mashangazi.
Mila na desturi zimetawala sana kwenye mambo haya na wala sio dini.
Je hao waliotuletea Ukristo wana mahari? Ni Tanzania tu?
Ukitaka kuoa Tanzania kila kabila watatoa taratibu zao! Nenda Kate usukumani! Utaulia wakifuata Mila na desturi zao!
Sidhani ni Ukristo mkuu! Ni mila tu!
 
Absolutely true...ukristo Hauna shida kabisa na swala mahari.
Nyei oaneni kwa makubaliano yoyote yale as long as taratibu za kiimani zimefanyika
 
Kwa kifupi alikua anatafuta hausigeli aliyepanda vyeo ,basi wazazi wa mganda walikua sahihi kudai mahari kubwa
Jua tofauti Kati ya kubadili dini kuwa muislamu na kutunga ndoa ya kiislamu, ni vitu viwili tofauti.

Jamaa anataka mke wa kumuangalizia watoto wake.
 
Mimi bado naziheshimu ndoa za waislam very cheap and nzuri na mwanamke kama amekulia kwenye dini hutakuja kujuta sema misimamo yao ya tofauti za didi otherwise i still opting to muslam ladies
Mfumo wao hauthamini sana ndoa unampa mwanaume unafuu aoe wanawake wengine aoendavyo kwa mahari ndogo sana akiwa na elfu 20 aweza oa wake wanne na uislamu unampa mwanamke unafuu wa kuondoka muda wowote kwani alicholipiwa kama mahari ni kama nauli tu ya daladala aweza mrudishia hata kwa kumtupia usoni mwanaume Kuwa mahari ulliipa elfu tano shika elfu tano yako mbwa wewe nimepata mwanaume mwenye pesa mshenzi wewe.

Na mwanaume kuacha kitu kidogo tu after all haikumgharimu kuoa.Hasikii.uchungu wa kuacha mke.Alilipa mahari elfu tano haikuumi kumbwaga


Ukristo mwanamke kutoka ngumu akiwaza mahari aliyotolewa tu kichwa chake lazima kitulie na mwanaume kuacha mke ngumu akiwaza gharama za mahari alizotoa lazima atulie mwenyewe
 
kuolewa kwa kulipiwa mahari kubwa siyo determinant ya upendo ndani ya ndoa........heshima ya mwanamke kwa mwanau,me au mume wake hauiji kwa aina ya harusi au ukubwa wa mahali au kutimiza matakwa ya wazazi wa mwanamke kipindi cha kuoa.
 
Kuna wenzenu waliambiwa million 4[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kila mara walikuwa wanatoka nje kujadiliana.
Alafu mwanamke mwenyewe Sasa wa million 4 ni kichekesho.
 
na wakaku
Kuna wenzenu waliambiwa million 4[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kila mara walikuwa wanatoka nje kujadiliana.
Alafu mwanamke mwenyewe Sasa wa million 4 ni kichekesho.
bali kulipa hiyo milion nne
 
Kwahiyo mahari inatumiwa kama black mail hapo mtauana sana maana upendo ukiisha huwa hakuna mbadala zaidi ya watu kuachana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…