Wakristo tuisusie Azam TV, wanatutenga Krismasi

Wakristo tuisusie Azam TV, wanatutenga Krismasi

We huna uhakika kama alizaliwa majira haya ila wao wanauhakika hakuzaliwa majira haya ndio maana hawahangaiki na hayonyanayokuhangaisha zaidi ya hapo njoo na andiko kama ushahidi unaosimamia hayo .

Azam tuwekee mpira tuburudike, achana na hadithi za walimwengu
Na sisi hatuna uhakika na matukio ya kiislamu km vile sijui kuzaliwa Muddy,Mara oh!!, Sherehe ya kuchinja,n.k.Ndio maana huwa nazitupilia mbali.
 
Na sisi hatuna uhakika na matukio ya kiislamu km vile sijui kuzaliwa Muddy,Mara oh!!, Sherehe ya kuchinja,n.k.Ndio maana huwa nazitupilia mbali.
Kwani kuna mtu alikulazimisha kuzifuatilia?
Mbona unateseka kupita kiasi?
Angalia usije pata vidonda vya tumbo tu kwa chuki zisizo na maana.
 
Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria Cha kuonesha kristo anazaliwa.

Sisi kama wateja ambao wakati wa skukuu za kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao Ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.

King'amuzi chao nishachoma moto
Mambo mengine ya kitoto sana,kwani wasipo weka hiyo alama hutaenda mbinguni?
 
Kuna shida mahali maskini kwenye brain ,lakini huwezi kuamini Mungu ni binadam na ameteswa na binadam wenzie ukapata akili.Naishia hapo.
 
Dini zetu zimekuja na meli hizi wala sihangaiki kumuona huyu yupo tofauti kwa sababu ana dini tofauti na Mimi nashuru sana kwa kulitambua hilo...
 
Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria Cha kuonesha kristo anazaliwa.

Sisi kama wateja ambao wakati wa skukuu za kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao Ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.

King'amuzi chao nishachoma moto
Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria Cha kuonesha kristo anazaliwa.

Sisi kama wateja ambao wakati wa skukuu za kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao Ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.

King'amuzi chao nishachoma moto
Nyota ya Mashariki
 

Attachments

  • Nyota ya mashariki (with lyrics) by B Mukasa ( 360 X 640 ).mp4
    9.7 MB
Zima azam TV weka nyimbo zako za Christmas basi,hio alama haikupeleki popote,Iwe imewekwa au haikuwekwa Christmas ipo palepale
 
Nenda kaombewe kwa mamphosa nani alikuabia yesu alizaliwa dec 25?. Sehemu gani kwenye biblia imeandikwa yesu alizaliwa 25/dec?.yesu ni mungu uliona wapi mungu akazaliwa? Yesu ni mtoto wa mungu uliona wapi mungu anafanya mapenzi na mwanamke akazaliwa yesu.? uliona wapi mungu akawa fundi seremala?
 
Siku ije itokee rais muislam halafu kwenye baraza la mawaziri kuna wakristo 3,nchi itawaka moto
 
Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria Cha kuonesha kristo anazaliwa.

Sisi kama wateja ambao wakati wa skukuu za kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao Ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.

King'amuzi chao nishachoma moto
Acha udini kiongozi fikra mbaya sana hizo ulizonazo binadamu tuna tofauti nyingi sana kwanini hii ya dini ndiyo ikukwaze tu..Baki na Utanzania wako na heshimu imani ya kila mtu bila kuona imani yako ni bora kuliko zingine. Mungu akusimamie tuwe wanajamii bora. Asante.
 
Back
Top Bottom