Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Ukristo haupiganiwi braza, Bali unajipigania.
Ulishawahi wakristo tumeandamana kwa mambo ya kipuuzi?
Shusha pumzi kunywa Maji.
Daudi this has nothing to do with his/her age. It has everything to do with his/her hatred against IslamChief how old are you?
Na sisi hatuna uhakika na matukio ya kiislamu km vile sijui kuzaliwa Muddy,Mara oh!!, Sherehe ya kuchinja,n.k.Ndio maana huwa nazitupilia mbali.We huna uhakika kama alizaliwa majira haya ila wao wanauhakika hakuzaliwa majira haya ndio maana hawahangaiki na hayonyanayokuhangaisha zaidi ya hapo njoo na andiko kama ushahidi unaosimamia hayo .
Azam tuwekee mpira tuburudike, achana na hadithi za walimwengu
Kwani kuna mtu alikulazimisha kuzifuatilia?Na sisi hatuna uhakika na matukio ya kiislamu km vile sijui kuzaliwa Muddy,Mara oh!!, Sherehe ya kuchinja,n.k.Ndio maana huwa nazitupilia mbali.
Mambo mengine ya kitoto sana,kwani wasipo weka hiyo alama hutaenda mbinguni?Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria Cha kuonesha kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa skukuu za kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao Ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto
Tulia Mrs manyaraAfu mechi za utopolo nitaangalizia kisimbuzi gani?
Ukiwa na roho ya kibaguzi ni motoni Mkuu...Mambo mengine ya kitoto sana,kwani wasipo weka hiyo alama hutaenda mbinguni?
Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria Cha kuonesha kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa skukuu za kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao Ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto
Nyota ya MasharikiWakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria Cha kuonesha kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa skukuu za kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao Ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto
Nilikuwa natafuta comment kama hiiKwani kuna kumbukumbu inayoonyesha yesu mwenyewe alisherekea siku yake ya kuzaliwa?
Acha udini kiongozi fikra mbaya sana hizo ulizonazo binadamu tuna tofauti nyingi sana kwanini hii ya dini ndiyo ikukwaze tu..Baki na Utanzania wako na heshimu imani ya kila mtu bila kuona imani yako ni bora kuliko zingine. Mungu akusimamie tuwe wanajamii bora. Asante.Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria Cha kuonesha kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa skukuu za kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao Ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto