Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anapatikana muhimbili ama wodini?Nakushauri utembelee wodi yoyote hasa muhimbili ushinde pale utajifunza kitu maishani mwako
Kwa nini isiwezekane? Ungesema labda taratibu zilikiukwa tu.Nakuhakikishia 100% kwamba hakuna Padre wa Kanisa Katoliki anayeweza kuendesha hata ibada tu ndani ya Parokia nyingine bila ya ruhusa ya Paroko wa hiyo Parokia. Huenda alienda kuchukua mchungaji fulani tu, lakini kwa muundo wa utendaji wa Kanisa Katoliki HAIWEZEKANI kuleta Padre wako kimya kimya
mkuu system ione hivi hivi ndio mana tunakula bia zetu kwa rahaNyaisonga ni mtu wa eagle haya Mambo haya dah....
Labda tuanze kimataifa. Huyo mtu wa kawaida akifa, salamu za rambirambi kutoka nchi za nje huwa zinatolewa? Bendera huwa inapepea nusu mlingoti? Lazima ukubali, msiba wa Rais mstaafu ni msiba mkubwa, usiuchukulie poa. Vivyo hivyo, hata dini huuchukulia kwa uzito wakeNaomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada.
Si afadhali hata huyo anayezikwa na Padre,wale wanaozikwa na makatekista/shemasi jee??
All in all hata ukizikwa na Papa,kama ni wa jehanum wa jehanum tuu,haya mambo ya kujilisha upepo kwa kuzikwa na tabaka flan wala si tiketi ya kuufikia uzima wa milele.
Fedha fezeaUkisha kufa hakuna linalokuhusu. Washaurini hao maaskofu waendelee kuponya roho za waliohai
InasikitishaHata mimi hili jambo huwa linaniuma sana.