NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Nilivyoona heading nikajua ni mada inayohusu tz kuhusu viongozi muhimu wa nchi wengi kutoka dini moja,kumbe mada inahusu huko Ulaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reference ya google nimekuwekea wewe mjinga usiyeenda shule upate elimu,mambo hayo mimi nilishayasoma secondary huko mwaka 1996 ndio nilijua Crusade war..kazi kwako debe tupuMjinga ni wewe,unayeiamini gugo kwa kila kitu.Yaani kwa akili yako ndogo ulivyogugo ukajiona una bonge la Elimu?!!.
Kirahisi Sana yaniUmeufunga Uzi Kibabe.
Anzisha uzi nikujibuNa kibwetere je?
Jifunze kusoma na kuelewa,Kibwetere nimemtaja kwa issue yake na issue ya Rwanda ni issue nyingine,panua uwezo wako wa kusoma na kuelewa.Kibwetere alikuwa wa Rwanda eeh???.kitu km hujui bora tu kujinyamazia kimya.
Sawa MkuuJifunze kusoma na kuelewa,Kibwetere nimemtaja kwa issue yake na issue ya Rwanda ni issue nyingine,panua uwezo wako wa kusoma na kuelewa.
Kidato cha ngapi ulisoma hayo wewe lofa??.Reference ya google nimekuwekea wewe mjinga usiyeenda shule upate elimu,mambo hayo mimi nilishayasoma secondary huko mwaka 1996 ndio nilijua Crusade war..kazi kwako debe tupu
Unajua hata hiyo vita inahusu nini lakin?..[emoji23][emoji23]Mzuka wanajamvi!
Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.
Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
uzi ufungweSio vita ya kidini lakini ile. Wala wazungu sio washika dini kivile
Nadhani labda ungeliangalia kwa mtazamo wa 'race' zaidi kuliko wa dini
Kwamba miaka ya karibuni imezoeleka waafrika na Waarabu ndio wanapigana mara nyingi, ila sasa wazungu nao wanapigana
Lakini Sio jambo la kufurahia, vita yoyote ile sio ya kuchekelea
Sijawahi sikia kafir akila dakuDaku ya mwisho ulivimbiwa ndio uharo wake unautoa leo upate nafasi ya pilau?
Bado nakutafakari kama ni wewe au Kuna mtu amehuck ID yakoMzuka wanajamvi!
Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.
Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.