Hapo zamani kabla ya ugunduzi wa dawa za maiti za kuchelewesha kuoza na kukata shombo la kuoza, watu walikuwa wanazikwa kawaida.
Hii dawa huwa ina kemikali nyingi sana ili kufanya maiti isioze haraka.
Ni vema kukubaliana na uumbaji kwamba kwa jinsi tulivyoumbwa kwamba mtu akifa anaanza kuoza na kunuka, kumchakachua aoze taratibu na kukata shombo kwa kuchelewesha mazishi ni kumkosoa muumbaji.
Kwanini tusiiache maiti kama ilivyo izikwe.
Hii dawa huwa ina kemikali nyingi sana ili kufanya maiti isioze haraka.
Ni vema kukubaliana na uumbaji kwamba kwa jinsi tulivyoumbwa kwamba mtu akifa anaanza kuoza na kunuka, kumchakachua aoze taratibu na kukata shombo kwa kuchelewesha mazishi ni kumkosoa muumbaji.
Kwanini tusiiache maiti kama ilivyo izikwe.