Wakristo tunaosheherekea 'Krismasi' Kesho kwa 'Yesu Kristo' Kuzaliwa 'Zizini' na 'Unyenyekevu' wake tunajifunza nini?

Mbona unateseka waachie wenyewe mambo yao
 
Yesu mwenyewe hakuwa kusali kanisani,Alikuwa anaswali Msitkitini akitumia kitabu cha Musa yaani Torati,ambayo mpaka Leo inatumiwa na waisilamu.
Yaani alitawadha na akasujudu,hakuwa kupiga ishara ya msalaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…