Wakristo tuungane kupaza sauti tuwe na sheria ya kukataza ndoa kuvunjika nje ya kifo ama usaliti, kuoa mara ya pili adhabu iwe kifungo cha maisha

Wakristo tuungane kupaza sauti tuwe na sheria ya kukataza ndoa kuvunjika nje ya kifo ama usaliti, kuoa mara ya pili adhabu iwe kifungo cha maisha

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
NI MPAKA KIFO AMA USALITI PEKEE, NJE YA HAPO NI TAMAA NA MOYO DHAIFU

Ni wakati sasa wakristo tuwe kama nchi ya ufilipino tuzikataze mahakama na makanisa ya mchongo kuvunja ndoa nje ya sababu hizo mbili, kwa wale wataokamatwa wameoa au kuolewa mara ya pili kwa njia za panya wafungwe jela maisha ama kunyongwa UKRISTO UHESHIMIWE

Ndoa haina watoto kwa miaka mitano, mwanaume anakimbilia kuomba ndoa ivunjike kwa kisingizio chake eti wazazi wake wanataka wajukuu, hii ni tamaa, kwani hakuna watoto wasio na wazazi unaoweza kuwa adapt ?

Mwanamke anapigwa makofi mawili matatu anaenda mahakamani kuomba ndoa ivunjike, huu ni udhaifu wa moyo.

Mwanaume mzima analia eti ananyimwa unyuma miaka miwili, anakimbilia mahakamani kuomba ndoa ivunjwe, hii ni tamaa ya ngono,

Mwanamke umeona mmeo kafungwa kifungo cha maisha unataka ndoa ivunjike, hii ni tamaa
 
Tungeanzia Rohoni ingekuwa vizuri zaidi
Nashangaa mwanaume mzima anaenda mahakamani kuvunja ndoa kisa kanyimwa unyumba mwaka moja, huo ni udhaifu wa moyo

Nashangaa mwanamke anaenda mahakamani kuvunja ndoa kisa mmewe hawezi kushiriki tena tendo, huo ni udhaifu wa moyo
 
Kwani maandiko yanasemaje mkuu...? Papuchi itaoza kaka inabidi ipashwe moto aisee...!
Maandiko yanasema ndoa ni mpaka kifo ama mnaweza kuachana moja wenu akichepuka.

Nje ya hapo ni tamaa na ugumu wa mioyo tu, ukiona kiungo flani kimeshindwa kuhimili tamaa zako heri ukikate kukwepa dhambi ya kutaka kuvunja ndoa kiholelela.
 
Ndoa sio gereza.

Wapo walioachana siku hiyo hiyo na maisha yaliendelea

Unazungumzia nin mkuu

Alaf usije ni quote kwa maandiko uchwara mnayochagua wenyewe vya kuambiana na vyakutokuambiana.
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise
 
Ndoa sio gereza.

Wapo walioachana siku hiyo hiyo na maisha yaliendelea

Unazungumzia nin mkuu

Alaf usije ni quote kwa maandiko uchwara mnayochagua wenyewe vya kuambiana na vyakutokuambiana.
Ndicho tunachokemea hicho, Ukristo uheshimiwe

Kama watu wanaona ndoa za kikristo hawawezi ni heri wafunge za bomani
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise
Hao wanajijua na sheria zao, Huu uzi ni wetu sisi wakristo kutilia mkazo ndoa za kikristo zifate sheria zake

Kama mtu anaona hawezi kuyamudu masharti ya ndoa za kikristo, ni ruksa kufunga ndoa za kitamaduni ama bomani ama hata kubadili dini
 
Sasa mtu aninyime unyumba nisivunje ndoa kisa nini..

Yaani nitoe mahari ya milioni 2 halafu niwe nato..mba mkono wangu..
Over my dead body(manara's voice)😂
 
Sasa mtu aninyime unyumba nisivunje ndoa kisa nini..

Yaani nitoe mahari ya milioni 2 halafu niwe nato..mba mkono wangu..
Over my dead body(manara's voice)😂
Ukristo hauruhusu kuvunja ndoa kwa kunyimwa unyumba,

Hayo mambo labda kwengine huko
 
Ndo maana vijana hawataki ndoa..
Sasa adhabu ya nini mtu Moyo wake ushakataa kukaa na mtu?
Lazima ya nini?
 
Ukristo hauruhusu kuvunja ndoa kwa kunyimwa unyumba,

Hayo mambo labda kwengine huko
Sasa ukristo unasema tuoane ili iweje, aje nyumbani tutizamane au tupelekeane moto..

Ndoa lengo kuu ni kwichi kwichi, tumezuiwa tusizini(yaani tusikwichi kwichi isivyompendeza mungu) ndoa ni kukwichi kwichi kwa ruhusa ya mungu.
Mke anakuja kwangu kuchezea RUNGU KIPEPE mengine ni mbwembwe tu, ila kuu ni kwichi kwichi.
 
Ndicho tunachokemea hicho, Ukristo uheshimiwe

Kama watu wanaona ndoa za kikristo hawawezi ni heri wafunge za bomani
Hakuna cha ukirsto mbele ya maisha na haki za watu.

Watu siku zote hawatabiriki... ndio useme mtu aolewe au aoe milele mkuu?
 
Kimyaa humu ndani, kina FaizaFoxy ruksa kutoa maoni
Mimi nawaambia huko mnadanganyana tu, kila kanisa na sheria zake. Njooni kwenye nuru ya Uislam, hakuna hayo matatizo ya ndoa, vifo, mirathi.

Uislam ni mfumo kamili wa maisha wa Muumba wetu. Hakuna janja janja za kibinadam.
 
Back
Top Bottom