Wakristo zaidi ya 100 wauawa kwenye vijiji vya mkoa wa Plateau nchini Nigeria kwa kusherekea Christmas

Hawa waliofanya Mauaji haya watakuwa ni ndugu zake na FaizaFox ambao amekuwa akiwatetea na kuwapigia debe kila siku hapa mtandaoni.
 
Kuna muda hata kuwaelezea tunaona kazi

Tunawajibu kama wanavyohitaji

Makhawalij wana imani yao ambao hata waislamu wengine wanawaona sio waislamu
 
Hivi kwann mtu akifanya mauaji km aliefanya mauaji ni muislam inahusishwa dini ya kiislam?mimi ujue nnawashangaa sana nyinyi ndugu zangu christians hao wanaoshambulia watu nigeria huwa hawaangalii ww dini gani hao wana malengo yao tofauti na dini lakini nyinyi mnahusisha na uislam lakini hao magaidi wa bokoharam wameshashambulia sana misikiti na wameua waumini waliokuwa wanaswali lakini nyinyi mnakomaa na uislam wakati hao hao wanavunja misikiti na kuua ndani ya misiki
 

Attachments

  • Screenshot_20231227-235359.jpg
    72.5 KB · Views: 2
Mambo yao wachie wenyewe we soma hiyo taarifa
Alafu unajua hii migogoro ya africa hua inapuuzwa sana kwa sababu hata viongozi wa nchi husika hua wanachukulia poa mfano kama hii event ya juzi hapo financial times inareport msemaji wa serikali alikataa kutoa comment yoyote
 
Kuna mstari mwembamba sana ambao unatenganisha kati ya UISLAMU na UGAIDI.
 
Kuna mstari mwembamba sana ambao unatenganisha kati ya UISLAMU na UGAIDI.
Pia kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha ushoga na ukristo ndio maana kiongozi wenu akawaruhusu muoane kabisa kanisani maana kaona mapadri wanavyowabaka watoto kwenye sunday school wanafaidi
 

Km kanisa likishambuliwa ni waislam hebu tuambie na walioshambulia msikiti ni wakristo?
 
Sio Chai bibie Hao boko haram wana chuki kubwa kwa wakristo wameteketeza kijiji kizima kosa ni kusheherekea Christmas
Boko haram huwa wanashambulia mpk misikiti hao ni magaidi km magaidi wengine wala sio suala la dini na hyo tabia imejengeka mhalifu akiwa muislam inahusishwa dini km ndio imemtuma afanye hvyo kumbe akili ya mtu anafanya kwa maslahi yake
 
Pia kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha ushoga na ukristo ndio maana kiongozi wenu akawaruhusu muoane kabisa kanisani maana kaona mapadri wanavyowabaka watoto kwenye sunday school wanafaidi
Pia kuna mstari mwembamba sana kati ya uislam na ushoga mfano mtume Muhammad alimkiss Al hussein. Vitendo vya kishoga vipo sana maeneo ambayo uislam umetamalaki mfano mombasa, tanga, zanzibar, oman infact inasemwa yule sultan wa Oman aliyefariki naye alikuwa shoga akifanya uchafu huu kisirisiri. Kuna sheikh mmoja maarufu sana ni shoga alokubuhu anapumuliwa na baba wa tajiri mmoja hivi wa kiislamu.
 
Nchi za ulaya zenye ukristo ndio zinaongoza dunia nzima
 
Dah!ndugu zangu kabisa wanauwawa
Sema basi bhana acha wafe kama mashahidi wa yesu.
R.I.P
 
Ifike mahali sasa na wao wakristo wajitetee wasikae kinyonge nyonge. Waislam kitu gani bwana nikuwafuata huko huko nakuzichapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…