Wakristo zaidi ya 100 wauawa kwenye vijiji vya mkoa wa Plateau nchini Nigeria kwa kusherekea christmas

Vipi wauwe watu bila hatia hao si Waislamu hao ni wanatumia ushenzi wao kwa kusingizia Uislam.

Uislam ni din ya Amani
Usitufanye sisi wajinga.
Hao wanaua kwa ku quote Quran then hiyo hiyo Quran inatangaza amani na upendo.
Hao waislam wanaoua watu ndio waislam haswa maana wanafanya kilichoagizwa na Quran (shetani).
 
Pombe kwenye uislam haramu kwahio hua wanalewa kwa matakwa yao binafsi
Ila wakristo pombe inanywewa mpaka kanisani ambayo sehemu eti ya ibada
Maana yake kwa wakristo pombe halali
Wanao kunywa pombe ni wakatoliki sio wakristo usichanganye mambo hapo
 
Hawataki shere za kishetani huko, maana hizo siyo sherehe ni shere. Sherehe gani ya kidini watu wanalewa mchana kutwa usiku kucha?.

View attachment 2855198
FaizaFoxy kwa hiyo unatamani watanzania wote ambao siyo waislamu wauawe ili mbaki ninyi waislamu tu???? Kuna rafiki zangu waislamu ni wastaarabu sana tena great friends of mine. Ila wengine mmepandikizwa roho za kuua kama wewe FaizaFoxy ni muuaji nadhani kwa jamii yetu hufai, yaani unajisikia raha kuua asiye muislamu.
 
Halafu utasikia wanakwambia ni dini ya haki. Haki gani ya kuuwa wenzio??
"Competition for natural resources between nomadic herders and farmers, intensified by rapid population growth and climate pressures, has also exacerbated social tensions and sparked violence"

Na hiyo ndio sababu kuu ya mauaji kutokana na chanzo cha habari husika. Ila kwa kua mleta uzi katafuta angle yake ya kuingilia kapata wafuasi wake wa kumfuata pasi na kufungua link aliyoileta.
 
Hawataki shere za kishetani huko, maana hizo siyo sherehe ni shere. Sherehe gani ya kidini watu wanalewa mchana kutwa usiku kucha?.

View attachment 2855198
Uliona jana Zanzibar uwanja wa Amani wakati wenye hijab zao na sigda wakikata mauno nyimbo za Diamond? AU mnyazi mungu ameruhusu hayo? Acha kutetea ushetani kwa kichaka cha Dini
 
Umejaribu kuchukua kipande chako tu.
Una hakika na unachoongea hakuna sehemu wanasema jihadist? Hakuna sehemu wanasema south kwenye wakristo na north kwenye waislamu wengi?

Udini bado upo mkuu.
 
Wanao kunywa pombe ni wakatoliki sio wakristo usichanganye mambo hapo
Wakatoliki dini gani na wananywea pombe sehem gani
Ishu kwanza hapa kunywea pombe eneo eti la kuabudu
Pia nashukuru kwa kunieka sawa hapa kama kuna wengine wanaamini ulevi haramu sio ila wakatoliki kwao kama soda?
 
Muislamu alieshika Sana dini tofauti yake na shetani hua ni ndogo Sana, yani Kila asie wa Imani yake wanatamani kumuua tuu
Uzushi
Ukiona muislam anaua mtu eti kisa tofauti ya dini ujue hana analojua kuhusiana na uislam hata robo
Uislam uko wazi kabisa linapokuja suala la kumuua mtu
Ukiona mtu anaua watu eti kisa imani tofauti huyu anatakiwanapigwe msasa kuhusiana na uislam sababu hajui lolote kuhusiana na dini ya uislamu
 

Unatumia Anus kufikiria kweli udini ni kilevi.
 
Hamas walivyomuua Joshua kule Israel ulishangilia na kwaita wapigania dini Leo unakana kauli Yako sio!! Nyie watu mnatakiwa mfanyiwe utafiti maana ubongo ndani ya vichwa vyenu una vitu vya kustaajabisha.
 
Usitufanye sisi wajinga.
Hao wanaua kwa ku quote Quran then hiyo hiyo Quran inatangaza amani na upendo.
Hao waislam wanaoua watu ndio waislam haswa maana wanafanya kilichoagizwa na Quran (shetani).
View attachment 2855217View attachment 2855217
Wewe ni mjinga sababu Qur'an haikushushwa kwa siku moja kama unavyo dhania wewe, na wajinga wenzako hizo Aya zilishuka kulikuwa reason flani wakati ule wa vita, sio amri kama unavyo dhania wewe, the above verse does not convey the general command of Islam. The truth of the matter is that the Qur'an was not revealed in the complete form in which it exists today.

It was revealed from time to time, according to the circumstances, sa kama ilikuwa inakusudia vile unavyo elewa wewe na wenginewe, basi ungeona Waislam kila kukicha wakiona Wakristo wanawaua tu, ndio mana waswahili walisema usikimbilie kukosoa kitu kabla hujakichunguza vizuri 😄
 
Umejaribu kuchukua kipande chako tu.
Una hakika na unachoongea hakuna sehemu wanasema jihadist? Hakuna sehemu wanasema south kwenye wakristo na north kwenye waislamu wengi?

Udini bado upo mkuu.
Yes waliouliwa ni dini tofauti na wale walioua. Ni kama kipindi kile cha vita ya wakulima na wafugaji sababu ya vita ni ardhi, huwezi kusema direct kua wakulima waliuawa sababu ya kua wao ni jamii ya wakulima. Motive ya mauaji ni ardhi ambayo it happens kukaliwa na wakulima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…