Wakubwa duniani ni kama miungu watu: Boss yuko ndani ya Benz, halafu walinzi wanakimbia kwa miguu kuilinda!

Ukikubali kumsujudia shetani vyote hivi utavipata

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoufinyu wako wa akili ulipofikia, tafuta pesa ndugu yangu hao walijiwekeza saizi wanaenjoy, shetani anauwa hatoi utajiri Bali utajiri unatoka Kwa Mungu. Wabongo bhana ndomana mnaendelea kuwa makapuku tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pyo Young na Rais wa Korea Kusin huwa wanakutana eneo lisilo na ulinzi wa kijeshi kwa pande zote mbili hapo mpakani au wanaita dermitalized zone havuki mpaka huyo Mwamba...
 
Hao watu si wanalipwa mzee!! Halafu hiyo route fupi tu sio kama bibi yenu anavyotokaga Dar kwenda Dodoma
 
kwanin hawajafunga vishikizo?
Kwa msaada wa mtandao japo sijaelfewa vizuri.

Unbottoning a coat or jacket and then attempt to draw, risk the professional being too slow on the draw or the weapons being caught on clotting and rendered useless.
 
Watawala uishi kifalme watawaliwa uishi kimasikini
 
Kwa sharti hilo acha nisivipate!! Ila kama Shetani anaweza kuwapa watu wake, naamini Mungu anaweza zaidi sana kuwabariki watu wake.
Shetani kwa mujibu wa maandiko ndio mkuu wa anga! Hatuna ukamilifu wa kimungu kuweza kuyakataa ya shetani katika uhalisia wake kwakuwa tumejawa na tamaa ulafi na ubinafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri hawajalazimishwa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wamelazimishwa!! Hebu mmoja aamue kutembea badala ya kukimbia uone kitakachomtokea!! Rais wa Korea ya kaskazini (Kim) aliwahi kuamrisha mmoja wa makamanda wa ngazi ya juu auawe hadharani!! Kosa lake lilikuwa ni kusinzia wakati Rais anahutubia!! Na siyo kwamba alipigwa risasi, bali alipigwa bomu!!
 
Hiyo ni sehemu ya majukumu yako kikazi na wanalipwa kwa kazi hiyo na wengi wanaitamani sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…