Wakubwa duniani ni kama miungu watu: Boss yuko ndani ya Benz, halafu walinzi wanakimbia kwa miguu kuilinda!

Wakubwa duniani ni kama miungu watu: Boss yuko ndani ya Benz, halafu walinzi wanakimbia kwa miguu kuilinda!

Shetani kwa mujibu wa maandiko ndio mkuu wa anga! Hatuna ukamilifu wa kimungu kuweza kuyakataa ya shetani katika uhalisia wake kwakuwa tumejawa na tamaa ulafi na ubinafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli katika halinya kawaida
Kama anaenda chooni kama mimi, hizo ni mbwembwe tu!

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mwenzio choo chake hakibaki nchi za nje!! Mfumo wa majitaka kwenye hoteli anayofikia lazima ufanyiwe matengenezo, kinachotoka mwilini mwake kinaelekezwa kwenye tenki maalumu na wanarudi nayo hadi korea ya kaskazini!
 
Ni kweli katika halinya kawaida

Mwenzio choo chake hakibaki nchi za nje!! Mfumo wa majitaka kwenye hoteli anayofikia lazima ufanyiwe matengenezo, kinachotoka mwilini mwake kinaelekezwa kwenye tenki maalumu na wanarudi nayo hadi korea ya kaskazini!
Umaarufu kazi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom