Shetani kwa mujibu wa maandiko ndio mkuu wa anga! Hatuna ukamilifu wa kimungu kuweza kuyakataa ya shetani katika uhalisia wake kwakuwa tumejawa na tamaa ulafi na ubinafsi
Mwenzio choo chake hakibaki nchi za nje!! Mfumo wa majitaka kwenye hoteli anayofikia lazima ufanyiwe matengenezo, kinachotoka mwilini mwake kinaelekezwa kwenye tenki maalumu na wanarudi nayo hadi korea ya kaskazini!
Mwenzio choo chake hakibaki nchi za nje!! Mfumo wa majitaka kwenye hoteli anayofikia lazima ufanyiwe matengenezo, kinachotoka mwilini mwake kinaelekezwa kwenye tenki maalumu na wanarudi nayo hadi korea ya kaskazini!