Wakubwa mje mfafanue hili jambo sijalieelewa

Wakubwa mje mfafanue hili jambo sijalieelewa

Nyie watoto wa 2000 kweli mnazingua. Ndio swali la kuja kuuliza hapa hilo?. Kusoma hujui hata picha inakusumbua?. Ndio nyie hata ukipelekewa ghetto unaanza kumfundisha kucheza Last card.
 
Habarini za asubuhi

Wakuu nipo hapa kuuliza kitu ambacho kina nitatiza kichwani Kuna dogo mmoja (Binti)
Tumezoeana ni marafiki kiasi japo sio ile sana Kwa upande wangu ni hawa watoto wa 2000's
huyu dogo kuna siku aliniita kwao nilipofika akadai amependa T-shirt langu la Gucci nikavua nikampatia nikabaki na vest kama conboy "kanabino" Kwa mnaomjua

Kuna siku aliniita nika ignore kwenda alilaumu sana jana kaniona kaniita nilikuwa nimevaa T-shirt zile zinaitwa form six rangi ya khaki kaniambia kaipenda nimpatie nilikuwa sina vest ndani nikamwambia nitakuletea ila msingi wa swali langu Ile T-shirt ya mwanzo GUCCI sijawahi kumuona akiwa ameivaa ni miezi mingi toka nimempatia sasa napata ukakasi kumpa na hii nyingine naombeni muongozo.

Na bado atataka na roho yako
 
Madogo weng wa sku hz ni wanaharamu yani wa nje ya ndoa kimombo BASTARD.

Senga's voice BASKETBALL
 
Habarini za asubuhi

Wakuu nipo hapa kuuliza kitu ambacho kina nitatiza kichwani Kuna dogo mmoja (Binti)
Tumezoeana ni marafiki kiasi japo sio ile sana Kwa upande wangu ni hawa watoto wa 2000's
huyu dogo kuna siku aliniita kwao nilipofika akadai amependa T-shirt langu la Gucci nikavua nikampatia nikabaki na vest kama conboy "kanabino" Kwa mnaomjua

Kuna siku aliniita nika ignore kwenda alilaumu sana jana kaniona kaniita nilikuwa nimevaa T-shirt zile zinaitwa form six rangi ya khaki kaniambia kaipenda nimpatie nilikuwa sina vest ndani nikamwambia nitakuletea ila msingi wa swali langu Ile T-shirt ya mwanzo GUCCI sijawahi kumuona akiwa ameivaa ni miezi mingi toka nimempatia sasa napata ukakasi kumpa na hii nyingine naombeni muongozo.
Hongera na ahsante kwa kusaidia jamiami
 
Unapoanzisha uzi wa kutaka ushauri,watu watatoa ushauri wao kwa mitazamo yao na experience zao,upo utakaokupendeza na upo ushauti ambao wewe utakaoona ni attack kwa uelewa wako,unatakiwa uwe tayari kwa michango yote,

Mtu akuonee ego kwa kugawa T shirt?
Hakuna nilipokataa ushauri ila nmekataa mshauri kuwa mjuaji
Apper human and approachable acha ujuaji kaka
 
Kijana dalili moja kuonyesha wewe bado mtoto ni kutuita wakubwa tuje tukusaidie,
Sasa tunakwambia hayo mambo ni Utoto tu, hakuna cha maana mnafanya hapo..

Unahisi tunakuona mwanaume jinsi unavyohold na kureact kwa huyo demu, vile unajizuia kuto sex na huyo sijui rafiki yako , clasmate i dont know!! Umri huu maranyingi Rolemodel hua anakua msanii wa hiphop , umemtaja hapo "Conboi" [emoji38][emoji38] au movie actor,
Lazima atakuwa ni "Denzel Newton" [emoji38][emoji38][emoji38]

Kwanza umesema alikuita kwao [Ukaenda], kama huna Interest nae sa kwanini ukaenda? Then kwanini uvue T-shirt urudi home na vest?
Utoto tu, kama ziko nyingine mpelekee nazo, mpe tu [emoji38][emoji38][emoji38]

Hakuna personal attack, wewe umetarajia tujibu "Wewe ni mgumu sana", "Wewe ni mwanaume" [emoji38][emoji38]

Nachoshukuru kumbe unajua kingereza [emoji116][emoji116]View attachment 3110988

Wewe unataka approval tukwambie upige au ubwage!!

Ushauri wangu "Huyo piga mzigo" if its real, ila zingatia Afya [kinga] na jitahidi sana kujizuia Mimba za utotoni zisizotarajiwa mkuu!!

Utavyokua mkubwa utashukuru kwa akili utayoitumia sasa kuepuka mimba na magonjwa ama utajutia kwa makosa utayoyafanya ...


View attachment 3110991
Mna mihemko ila mnaogopana, Tumepita huko!! [emoji38][emoji38]

Im Genius, im sure [emoji3447]
Nmekuelewa
 
Kula mzigo huo!!, acha habari za cabbinho... Ye mwenyewe anapenda totoz!!
 
Habarini za asubuhi

Wakuu nipo hapa kuuliza kitu ambacho kina nitatiza kichwani Kuna dogo mmoja (Binti)
Tumezoeana ni marafiki kiasi japo sio ile sana Kwa upande wangu ni hawa watoto wa 2000's
huyu dogo kuna siku aliniita kwao nilipofika akadai amependa T-shirt langu la Gucci nikavua nikampatia nikabaki na vest kama conboy "kanabino" Kwa mnaomjua

Kuna siku aliniita nika ignore kwenda alilaumu sana jana kaniona kaniita nilikuwa nimevaa T-shirt zile zinaitwa form six rangi ya khaki kaniambia kaipenda nimpatie nilikuwa sina vest ndani nikamwambia nitakuletea ila msingi wa swali langu Ile T-shirt ya mwanzo GUCCI sijawahi kumuona akiwa ameivaa ni miezi mingi toka nimempatia sasa napata ukakasi kumpa na hii nyingine naombeni muongozo.
😂😂😂Inatafutwa kwenye mtandao mzee
 
downloadfile.gif
 
Back
Top Bottom