Wakufunzi wa Chuo cha CATC wahimizwa kufanya kazi kwa weledi

Blasio Kachuchu

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
366
Reaction score
243

Chuo cha Usafiri wa Anga(CATC) kimefanya hafla ya kufunga Kozi mbili za ‘Area Control Procedure’ namba 35 na Kozi ya Ndege nyuki (Drone) namba 16 kwa wakufunzi hao kuhimizwa juu ya kufanya kazi kwa weledi.

Nasaha hizo zimetolewa Machi 08, 2024 na Mkuu wa Chuo cha CATC, Aristid Kanje wakati wa kufunga kozi hizo mbili ambazo zimeambatana na mafunzo ya weledi yaliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Chama cha Wamiliki wa Mashirika ya Ndege nchini (TAOA) Bi Lathifa Sykes.

CATC moja ya vyuo vinavyotoa kozi ya Usalama wa Usafiri wa Anga (ASTC) na ni moja kati ya vyuo tisa vyenye sifa hizo Afrika na 35 duniani.
























 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…