ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nyie wakulima msipoungana na kuwa na chama Chenye maamuzi ya veto Mtanyanyasika Sana na Wanaoshinda Twitter kusema maisha magumu.
Na Serikali ya CCM isiyojielewa ndio inawasikiliza hao na kuwaacha nyie 70% kwenye umaskini uliotopea.
Haiwezekani Serikali ya ccm inaagiza chakula Nje ya Nchi msimu wa mavuno unaoenda kuanza mwezi wa 4.
Hapo hapo wanasema Vijana waende kwenye Kilimo ila Watoto wao hawawepeleki,bila incentives ya bei hakuna Kilimo.
Najua hao Jamaa wa Serikali watakwambia mwaka huu wao ndio watanunua mazao Ili kuwapooza lakini tunajua ambavyo Huwa na masharti na malingo na kama huna mzigo mkubwa hawanunui.
Sasa Jiandaeni Kisaikolojia bei za shambani zitakuwa 25,000-30,000 mpunga na 15,000-25,000 Kwa mahindi na watazuia mipaka Kwa kuweka vikwazo kibao.
Nawakumbusha tuu ndugu wakulima kwamba Kenya wameingiza mazao hasa mahindi kutoka Nje so hakuna soko mwaka huu mtaimba Kila wimbo na watu wa Mjini waliokataa kutoa tozo hamtakaa muwasikie wakiwasaidia..
Way forward undeni chama Chenye Nguvu ambacho kitakuwa kinawapa muelekeo kama mzalishe vyakula vyenu au mzalishe ziada ya biashara vinginevyo Bora kuacha Kilimo mkafanya uchuuzi mjini.
Na Serikali ya CCM isiyojielewa ndio inawasikiliza hao na kuwaacha nyie 70% kwenye umaskini uliotopea.
Haiwezekani Serikali ya ccm inaagiza chakula Nje ya Nchi msimu wa mavuno unaoenda kuanza mwezi wa 4.
Hapo hapo wanasema Vijana waende kwenye Kilimo ila Watoto wao hawawepeleki,bila incentives ya bei hakuna Kilimo.
Najua hao Jamaa wa Serikali watakwambia mwaka huu wao ndio watanunua mazao Ili kuwapooza lakini tunajua ambavyo Huwa na masharti na malingo na kama huna mzigo mkubwa hawanunui.
Sasa Jiandaeni Kisaikolojia bei za shambani zitakuwa 25,000-30,000 mpunga na 15,000-25,000 Kwa mahindi na watazuia mipaka Kwa kuweka vikwazo kibao.
Nawakumbusha tuu ndugu wakulima kwamba Kenya wameingiza mazao hasa mahindi kutoka Nje so hakuna soko mwaka huu mtaimba Kila wimbo na watu wa Mjini waliokataa kutoa tozo hamtakaa muwasikie wakiwasaidia..
Way forward undeni chama Chenye Nguvu ambacho kitakuwa kinawapa muelekeo kama mzalishe vyakula vyenu au mzalishe ziada ya biashara vinginevyo Bora kuacha Kilimo mkafanya uchuuzi mjini.