Longoshe
Member
- Jul 30, 2022
- 52
- 66
ndugu zangu wana JF nimefuatilia mijadala mbali mbali juu ya bei za nafaka kupanda, ila watu wana mitazamo tofauti tofauti kama ifuatavyo
1. kuna wanaosema kwa sasa wakulima wananufaika kwani bei zipo juu
2. kuna wanaosema wakulima hawanufaiki kwani anaye uza ni mtu wa katikati kati ya mkulima na mtumiaji
3. kuna wanaosema kwamba hali ya sasa hivi ni bora kwani kipindi cha nyuma Magufuli alifunga mipaka hivyo ikapelekea bei ya nafaka kuwa chini
Swali langu ni je sisi watumiaji wa mwisho tutaishi maisha gani kama uwezo wetu wa kununua nafaka hizi itakuwa ni mdogo??
Na je serikali ya mama samia inachukulia vipi swala hili la bei za nafaka kuwa juu??
Je furaha ya wakulima mazao kuwa juuu inatokea wapi ikiwa ruzuku wanazopewa Wakulima ni za Watanzania wote??
1. kuna wanaosema kwa sasa wakulima wananufaika kwani bei zipo juu
2. kuna wanaosema wakulima hawanufaiki kwani anaye uza ni mtu wa katikati kati ya mkulima na mtumiaji
3. kuna wanaosema kwamba hali ya sasa hivi ni bora kwani kipindi cha nyuma Magufuli alifunga mipaka hivyo ikapelekea bei ya nafaka kuwa chini
Swali langu ni je sisi watumiaji wa mwisho tutaishi maisha gani kama uwezo wetu wa kununua nafaka hizi itakuwa ni mdogo??
Na je serikali ya mama samia inachukulia vipi swala hili la bei za nafaka kuwa juu??
Je furaha ya wakulima mazao kuwa juuu inatokea wapi ikiwa ruzuku wanazopewa Wakulima ni za Watanzania wote??