Wakulima wa Tanzania hamko serious na Kilimo, Yaani Ng'ombe anatoa kilo 25kg za kinyesi kwa wakati mmoja na bado mnalia kwa kupanda bei mbolea ya YARA

Wakulima wa Tanzania hamko serious na Kilimo, Yaani Ng'ombe anatoa kilo 25kg za kinyesi kwa wakati mmoja na bado mnalia kwa kupanda bei mbolea ya YARA

Manzile

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
701
Reaction score
1,900
Kweli nimeamini sisi wabongo ni wavivu sana.

Hebu fikiria kwa ripoti ya msomi wetu wa viwango vya juu kabisa, Le Professor mwenyewe kule mto MARA, ng'ombe mmoja kwa wakati mmoja tu anatoa kg 25, tufanye kwa hesabu ya chini kabisa, huyu ng'ombe atoe kinyesi mara moja tu kwa siku, zidisha kwa wiki, mwezi then mwaka mara idadi ya ng'ombe tulio nao nchini

Kuna haja gani wakulima kuhangaika na haya mambolea ya YARA, wakati mbolea ipo ya bei nafuu au bure kabisa...Kweli bongo ni nchi ya wavivu....

Le Professor Samwel Manyele Ushamaliza asiyekubali ripoti yako ahamie burundi.

Lakini watu wa MORO TUJUZENI HAPA hahaha, Samahani Le Professor
Pale Dakawa njia kuu ya Moro to Dom si kuna ka ~bwawa miaka na miaka sasa, mle ndani wamasai wananywesha ng'ombe, wanakunya humohumo na kukojoa na zaidi watu wanafanya shughuli zao humohumo kama kuoga na kufua na maji hayo yametwama, Makambale wangapi wanakufaga kwa siku pale? Tujuze?

Nchi ngumu hii hahaha
 
Hebu fikiria kwa ripoti ya msomi wetu wa viwango vya juu kabisa, Le Professor mwenyewe kule mto MARA, ng'ombe mmoja kwa wakati mmoja tu anatoa kg 25, tufanye kwa hesabu ya chini kabisa, huyu ng'ombe atoe kinyesi mara moja tu kwa siku, zidisha kwa wiki, mwezi then mwaka mara idadi ya ng'ombe tulio nao nchini
Acha kuandika uzandiki
 
Shida sio wakulima shida ni nani wa kuwapa maarifa. Mbona watz wanaishi kwenye nyumba za nyasi na udongo hali wanaweza jenga nyumba bora kwa kugeuza udongo kuwa vigae na matofali wakapata nyumba bora
 
Nakusudia mwakani nitumie samadi ya ng'ombe na kuku kuzalishia mahindi naomba wataalam mnisaidie namna nzuri ya kuiandaa
 
Hizi semi zinazotoka Shinyanga zimebeba ng'ombe kwenda DSM zingekuwa zinafika huko lori limejaa samadi.

Ule uzito wa kinyesi cha ng'ombe kuzipata 25kg ni kiroba ujazo wa mfuko wa cement.
Unapingana na Le Professor wewe, utahamia Burundi shauri yako
 
Kweli nimeamini sisi wabongo ni wavivu sana.

Hebu fikiria kwa ripoti ya msomi wetu wa viwango vya juu kabisa, Le Professor mwenyewe kule mto MARA, ng'ombe mmoja kwa wakati mmoja tu anatoa kg 25, tufanye kwa hesabu ya chini kabisa, huyu ng'ombe atoe kinyesi mara moja tu kwa siku, zidisha kwa wiki, mwezi then mwaka mara idadi ya ng'ombe tulio nao nchini

Kuna haja gani wakulima kuhangaika na haya mambolea ya YARA, wakati mbolea ipo ya bei nafuu au bure kabisa...Kweli bongo ni nchi ya wavivu....

Le Professor Samwel Manyele Ushamaliza asiyekubali ripoti yako ahamie burundi.

Lakini watu wa MORO TUJUZENI HAPA hahaha, Samahani Le Professor
Pale Dakawa njia kuu ya Moro to Dom si kuna ka ~bwawa miaka na miaka sasa, mle ndani wamasai wananywesha ng'ombe, wanakunya humohumo na kukojoa na zaidi watu wanafanya shughuli zao humohumo kama kuoga na kufua na maji hayo yametwama, Makambale wangapi wanakufaga kwa siku pale? Tujuze?

Nchi ngumu hii hahaha
Afu bado wanataka kutuaminisha kwamba chanjo na dawa wanazoingiza nchini ni salama ? Ccm ipo tayari hata kuua raia wake sababu ya maslahi.
 
Profesa mwenyewe ukute hajawahi kufuga hata paka.

Tanzania ina bahati mbaya Sana kuwa na wasomi wa hovyo hovyo.
 
Back
Top Bottom