Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

hahaa jamani Iribini umenikumbusha mama wa rafiki yangu alituambia eti 'enzi zetu chupi ilikuwa inafunika ****** sio nyie ****** yanafunika chupi' haaaaa lol!!!

Ni kweli au si kweli?
 
kuna kamwalimu ka hesabati kalikuwa kananambia nikapenyezee bange, hako kamwalimu kalikuwa kanavuta kuliko bobu male! kama hujakapenyezea bange kanakuloga wewe na familia yako! kakishavuta bange zake mpaka 1+1 utakaona kanatafuta kalkuleta.
 
kuna kamwalimu ka hesabati kalikuwa kananambia nikapenyezee bange, hako kamwalimu kalikuwa kanavuta kuliko bobu male! kama hujakapenyezea bange kanakuloga wewe na familia yako! kakishavuta bange zake mpaka 1+1 utakaona kanatafuta kalkuleta.
hahahahahaha!
 
kuna kamwalimu ka hesabati kalikuwa kananambia nikapenyezee bange, hako kamwalimu kalikuwa kanavuta kuliko bobu male! kama hujakapenyezea bange kanakuloga wewe na familia yako! kakishavuta bange zake mpaka 1+1 utakaona kanatafuta kalkuleta.

Nawe Dawa mseto ulikuwa hupigi pafu kidogo la hiyo bange? Mi ilikuwa nikitumwa nimuwashie mwalimu sigara ilikuwa lazima nipige pafu kadhaa!
 
wakati wa balehe,
TUCHUCHU TULIVIMBA SANA NANDI KULIKUWA KAMA KUNA VIPEKE VIGUMUSANA!TUKISIMAMA MSTARINI WAKATI WA JOTO TUCHUCHU TULIKUWA TUNATOA MAJI
halafu vile vipeke vilikuwa vinauma sana
 
kuna kamwalimu ka hesabati kalikuwa kananambia nikapenyezee bange, hako kamwalimu kalikuwa kanavuta kuliko bobu male! kama hujakapenyezea bange kanakuloga wewe na familia yako! kakishavuta bange zake mpaka 1+1 utakaona kanatafuta kalkuleta.

hahahahahaha hahahahahaha heheheheheheh teteteteteh kama na wewe hakukuvutisha bangi itakuwa bahati
 
leo MBU watajijua na plasimodiumu zao!..:
The Following User Says Thank You to Geoff For This Useful Post: klorokwini (Today)
 
umenikumbusha,tulikuwa tunaenda mtoni kuvinda vidudu vyeusi hivi,sijui kama ni samaki au la,then unaweka kwenye maziwa ili ang'ate,alafu panavimba,unafurahi na kujitapa maziwa yameanza kuota,kweli natamani kurudi nyuma
wakati wa balehe,
TUCHUCHU TULIVIMBA SANA NANDI KULIKUWA KAMA KUNA VIPEKE VIGUMUSANA!TUKISIMAMA MSTARINI WAKATI WA JOTO TUCHUCHU TULIKUWA TUNATOA MAJI
halafu vile vipeke vilikuwa vinauma sana
 
umenikumbusha,tulikuwa tunaenda mtoni kuvinda vidudu vyeusi hivi,sijui kama ni samaki au la,then unaweka kwenye maziwa ili ang'ate,alafu panavimba,unafurahi na kujitapa maziwa yameanza kuota,kweli natamani kurudi nyuma
.....nakumbuka WETI-DRIMU!...

hivi ninyi wanawake mna WETI-DRIMU?
 
The Following User Says Thank You to Chrispin For This Useful Post: klorokwini (Today)

Na hapa je? Leo sishushi neti! Acha mbu wajing'atie mpaka wachoke!
 
Back
Top Bottom