SHULE YA MSINGI KIBUMAYE SLP172, TARIME- MARA
Mbona ha-mumo humu ina maana wote mlibaki kijijini kweli? wale wajanja Bhoke Mahindi, Daniel Mugaya, Japhet Mugaya, Marwa Ghesara. Ngochiro, Yosubho Kaka mkuu, Mwita Wambula. Mwita kihughi, Kasisi Maghweina, Jane Lameck - Nasikia uko USA Unaosha wazee!, Josephina Shana, Masamaki Manyonyi, Dani shana- huyu afisa usalama huko Bongo. Pili Benigna machemba , Binti wa mwalimu benigna machemba darasa la kwanza, Mili samson. Mwalimu Ghikaro uko wapi wewe?
KIJIJI CHA UJAMAA MOGHABIRI. Daaaah! kweli