Napenda kumpongeza sana Rais Samia kwa maamuzi aliofikia ya kuongeza mishahara ya wafanyakazi wa serikali Mungu akubariki.
Aidha napenda kuwakumbusha kwamba kusahau ni kwa binadamu, wastaafu waliotumikia serikali na kujenga misingi yake, baadhi yao bado wako hai. Pesheni zao ni ndogo sana na kwa sheria za zamani hawakuruhusiwa kufanya biashara enzi hizo.
Baada ya mishahara kupanda bidhaa nazo kwa hakika zitapanda kwa kiasi kikubwa hawa wazee wanyonge wataishije? wakumbukeni wastaafu na wazee wenu pia.
Aidha napenda kuwakumbusha kwamba kusahau ni kwa binadamu, wastaafu waliotumikia serikali na kujenga misingi yake, baadhi yao bado wako hai. Pesheni zao ni ndogo sana na kwa sheria za zamani hawakuruhusiwa kufanya biashara enzi hizo.
Baada ya mishahara kupanda bidhaa nazo kwa hakika zitapanda kwa kiasi kikubwa hawa wazee wanyonge wataishije? wakumbukeni wastaafu na wazee wenu pia.