Kulikuwa na wkt iliundwa wizara yenye jina "Wazee", lkn hakukufanyika lolote lililowapa faida wazee. Kila ukiuliza, wanakuambia "matibabu bure", wakatengnezewa vitamblisho lkn hapakuwa na dawa, hakuna zaidi. Baadae jina hilo likaondolewa, lilionekana kuwasuta viongozi.Usisahau na wewe siku moja utastaafu. Na wala siyo mbali saaana.
Kuna muheshimiwa mmoja alikuwa katibu mkuu ofisi ya raisi enzi zilee. Alikuwa akipelekewa mefinitelapendekezo ya marekebisho ya pensheni akiyapiga na chini. Siku ya siku alikuja kustaafu akaanza kulalamika eti pensheni ndogo sana. Alijisahau na kudhania angedumu kwenye ile post indefinitely.
Lilionekana kama linaongeza gharama - yaani mzee ni gharama!
Walijua kuwa nao watazeeka, wakatengneza mfumo utakaowahakikishia maisha bora uzeeni kupitia mishahara minono, hivyo hawawajali wazee.
Pia serikali imekopa sana kwny mashirika ya pensheni na wameshindwa kulipa ambapo pia mashirika haya yamewekeza sana kwny maujenzi yasiyo na tija hivyo kuwaongezea mzigo wa kupandsha pensheni inaonekana ni kuwatesa.
Mwanasiasa kajihakikishia pensheni nzr wkt wa kima ch chni ch mshahara anaiona dunia chungu.
Mifumuko ya bei haichagui mzee wala kijana na sera na maamuzi pia hayatakiwi kubagua.
Serikali iwapandishie wastaafu pensheni zao kama wanavojipandishia mishahara wao