Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Katika watu wanaokula Kwa Urefu wa Kamba zao Hela za Watanzania nihawa viumbe .
Alafu wajanja sana, unakuta wametengeneza ka cheini hivi ka ulaji kanakowahusisha mpaka na Ma DC husika .
Wewe DED, unapata wapi Hela za kujengea Michepuko zaidi ya mitano Nyumba? Na Gari ?.
Duuhh Hii Nchi !!!.
Alafu wajanja sana, unakuta wametengeneza ka cheini hivi ka ulaji kanakowahusisha mpaka na Ma DC husika .
Wewe DED, unapata wapi Hela za kujengea Michepuko zaidi ya mitano Nyumba? Na Gari ?.
Duuhh Hii Nchi !!!.