Baambiebaambie, waache manenomaneoPambana upate u DeD vyeo vinalipiwa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baambiebaambie, waache manenomaneoPambana upate u DeD vyeo vinalipiwa hivyo
Wengine wametafuna kamba imekatikaKila mbuzi hula urefu wa kamba yake...
Hakuna DED anayetegemea mshahara kuishi cheo ni platform TU,Tena Hela zinakuja zenyewe TU kihalali fanya utafiti sio Kila kitu mpaka uulize.Katika watu wanaokula Kwa Urefu wa Kamba zao Hela za Watanzania nihawa viumbe .
Alafu wajanja sana, unakuta wametengeneza ka cheini hivi ka ulaji kanakowahusisha mpaka na Ma DC husika .
Wewe DED, unapata wapi Hela za kujengea Michepuko zaidi ya mitano Nyumba? Na Gari ?.
Duuhh Hii Nchi !!!.
Uongozi ni ajira sio wito peleka ualimuEti watu wanafurahia upigaji na hakuna wa kuhoji kwa sababu za kutokuwa na mshipa wa haya wala Soni
Unafagiliaje upigaji kama wewe sio mwehu?
Nchi itabaki kuwa na ajali kila kukicha, nchi itakuwa na viongozi wanaowaambia mjadili waganga wa kienyeji
Nchi ina watu ambao hawajui kizuri na kibaya tofauti zake
Poleni sana
Napataje hii nafasiHakuna DED anayetegemea mshahara kuishi cheo ni platform TU,Tena Hela zinakuja zenyewe TU kihalali fanya utafiti sio Kila kitu mpaka uulize.
Kazi iendeeleeeKatika watu wanaokula Kwa Urefu wa Kamba zao Hela za Watanzania nihawa viumbe .
Alafu wajanja sana, unakuta wametengeneza ka cheini hivi ka ulaji kanakowahusisha mpaka na Ma DC husika .
Wewe DED, unapata wapi Hela za kujengea Michepuko zaidi ya mitano Nyumba? Na Gari ?.
Duuhh Hii Nchi !!!.
HahahaMwenye orodha ya wezi serikalini wekeni hapa kila mkoa wananchi wawashughulikie Kama vibaka wa mtaani tu..Kama wataendelea kuiba🏃🏃🏃🏃
HahahaKwa hiyo unawaonea wivu hao michepuko?
NaamUkiwa na icho cheo Kuna deal automatical zinakuja zenyewe,hiyo ni kote kote ata kama wewe ungepewa icho cheo ungekula,ishu za kula ten percent kwenye zabuni mbali mbali ,.etc .acha wale kutesa kwa zamu ,ela inarudi mtaani kwenye mzunguko,kuliko wanaoenda kuficha ela mamtoni
Naam........chukua chako mapema....kabla ujaenguliwa yaani chap chap
HahahaNchi kila anayeshika nafasi
Ni kupiga tu
Huo ndiyo utamaduni wetu
Ova
NaamDED ni HAZINA ya Halmashauri.
Unategemea asipate hela wakati ameteuliwa KULA.
PM amekuwa mwaba mkali kwa hawa washenzi. Lakini kama unavyojua nchi yetu kuna watu wanamtengenezea figisu ili ang'olewe na wao waendelee kula.