Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
........chukua chako mapema....kabla ujaenguliwa yaani chap chap
Duuhh wee ni DED wa kike ?.Njooo Huku tukujengeee masharti na vigezo kuzingatiwa
Yes KM Huu muda nikama amewajulia namna ya kudeal naoPM amekuwa mwaba mkali kwa hawa washenzi. Lakini kama unavyojua nchi yetu kuna watu wanamtengenezea figisu ili ang'olewe na wao waendelee kula.
Upigwaji haufai .Eti watu wanafurahia upigaji na hakuna wa kuhoji kwa sababu za kutokuwa na mshipa wa haya wala Soni
Unafagiliaje upigaji kama wewe sio mwehu?
Nchi itabaki kuwa na ajali kila kila kukicha, nchi itakuwa na viongozi wanaowaambia mjadili waganga wa kienyeji
Nchi ina watu ambao hawajui kizuri na kibaya tofauti zake
Poleni sana
Kwahiyo ni kujipigia tuĎED >DC in term of maslahi yeye ndie mkusanyaji mkuu wa mapato ya halmashauri
Picha ya nyumba? Picha ya DED? Picha ya michepuko Yao? Picha za Wanapata wapi Hela?Lete picha
Hatuwezi kusonga mbele..labda tusonge ugaliNchi kila anayeshika nafasi
Ni kupiga tu
Huo ndiyo utamaduni wetu
Ova