Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
-
- #21
DuuuhhUkiwa na icho cheo Kuna deal automatical zinakuja zenyewe,hiyo ni kote kote ata kama wewe ungepewa icho cheo ungekula,ishu za kula ten percent kwenye zabuni mbali mbali ,.etc .acha wale kutesa kwa zamu ,ela inarudi mtaani kwenye mzunguko,kuliko wanaoenda kuficha ela mamtoni
Imekua tabia Sasa ,inapita kizazi Hadi kizaziWanafundishwa kule uvccm na wanaanza tabia ya kujengea na kununulia magari makamanda wao.
PM amekuwa mwaba mkali kwa hawa washenzi. Lakini kama unavyojua nchi yetu kuna watu wanamtengenezea figisu ili ang'olewe na wao waendelee kula.
Katika watu wanaokula Kwa Urefu wa Kamba zao Hela za Watanzania nihawa viumbe .
Alafu wajanja sana, unakuta wametengeneza ka cheini hivi ka ulaji kanakowahusisha mpaka na Ma DC husika .
Wewe DED, unapata wapi Hela za kujengea Michepuko zaidi ya mitano Nyumba? Na Gari ?.
Duuhh Hii Nchi !!!.
Pambana upate u DeD vyeo vinalipiwa hivyoKatika watu wanaokula Kwa Urefu wa Kamba zao Hela za Watanzania nihawa viumbe .
Alafu wajanja sana, unakuta wametengeneza ka cheini hivi ka ulaji kanakowahusisha mpaka na Ma DC husika .
Wewe DED, unapata wapi Hela za kujengea Michepuko zaidi ya mitano Nyumba? Na Gari ?.
Duuhh Hii Nchi !!!.
Fala sana wewe 🤣Umeshagongewa demu unakuja kulialia humu. Kama kidume kweli mjengee na wewe mshindane kumjengea
Hajui hilo 😅😅Pambana upate u DeD vyeo vinalipiwa hivyo
Halafu mtu anauliza DED anapata wapi hela?😅😅😅njoo huku mikoani uone maDED wanavyojipigia mikwanja,hata hapo daslam wanapiga sana tu,ndomana Kama hauko kwenye circle yao huwezi pata hiko cheoĎED >DC in term of maslahi yeye ndie mkusanyaji mkuu wa mapato ya halmashauri
Pamoja na kuwa msomi, bado unauzwazwa wa kufi#$ra.....ukichoka ntakupa boost ya dole gumbaDuuhh wee ni DED wa kike ?.
Mimi ni mwanaume wa kisukuma mpeleka moto, siwez kukufira.
Nchi hii kila mtu mwizi tuEti watu wanafurahia upigaji na hakuna wa kuhoji kwa sababu za kutokuwa na mshipa wa haya wala Soni
Unafagiliaje upigaji kama wewe sio mwehu?
Nchi itabaki kuwa na ajali kila kila kukicha, nchi itakuwa na viongozi wanaowaambia mjadili waganga wa kienyeji
Nchi ina watu ambao hawajui kizuri na kibaya tofauti zake
Poleni sana
Mh DED, usipanik... Uzi wangu nmehoji, nyie maded Mnapata wapi Pesa za kujengea Michepuko yenu nyumba.?.Pamoja na kuwa msomi, bado unauzwazwa wa kufi#$ra.....ukichoka ntakupa boost ya dole gumba
Kweli MkuuNchi hii kila mtu mwizi tu
Mkuu
Ova
Tabia imeota mizizi. 50% ya fedha ya umma anapigwa kupitia Halmashauri. R.I.P JpmImekua tabia Sasa ,inapita kizazi Hadi kizazi
Aaaah DED... acha hizo DED!! Hii nchi ni yetu sote, kuleni kwa kiasiUmeshagongewa demu unakuja kulialia humu. Kama kidume kweli mjengee na wewe mshindane kumjengea
Vyote vyote tuPicha ya nyumba? Picha ya DED? Picha ya michepuko Yao? Picha za Wanapata wapi Hela?