Mnakurupuka mtakuja kujuta! Haraka ya nini? Jiridhishe kuwa mna ushahidi wa kutosha kuwatia hatiani. Najua ni kukurupuka.Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa wakurugenzi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite inayoitwa Sky Associates wako mikononi mwa polisi.
Tusubiri updates!
Watajuta muda si mrefuMnakurupuka mtakuja kujuta! Haraka ya nini? Jiridhishe kuwa mna ushahidi wa kutosha kuwatia hatiani. Najua ni kukurupuka.
Vipi una updates ya hali ya Mhe. Lissu? Maana uhai ya binadamu kwnz hayo mengine wala co vitu vianvyounda taifa. Taifa linaundwa na (1) watu (2) mipaka na (3) sovereignty. (Kauli mbiu) Tanzania ishi na Lissu.Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa wakurugenzi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite inayoitwa Sky Associates wako mikononi mwa polisi.
Tusubiri updates!
Najua mtakurupuka! Labda kama kampuni ni ya hapa, mtaionea na mahakama zetu, kama ni ya nje na mahakama ziko nje kadri ya mkataba, mtakurupuka tu kwa sababu you are moved by politics of a single man show and not realityUkurupukaji uko wapi?Kwani wameshafikishwa mahakamani?
Ziko threads kuhusu hilo mkuu...Vipi una updates ya hali ya Mhe. Lissu? Maana uhai ya binadamu kwnz hayo mengine wala co vitu vianvyounda taifa. Taifa linaundwa na (1) watu (2) mipaka na (3) sovereignty. (Kauli mbiu) Tanzania ishi na Lissu.
what do you have as the "reality"Najua mtakurupuka! Labda kama kampuni ni ya hapa, mtaionea na mahakama zetu, kama ni ya nje na mahakama ziko nje kadri ya mkataba, mtakurupuka tu kwa sababu you are moved by politics of a single man show and not reality
Lisu kazinduka aiseee na kaongea sentensi moja tuu. Kujua zaidi ngoja nijeVipi una updates ya hali ya Mhe. Lissu? Maana uhai ya binadamu kwnz hayo mengine wala co vitu vianvyounda taifa. Taifa linaundwa na (1) watu (2) mipaka na (3) sovereignty. (Kauli mbiu) Tanzania ishi na Lissu.
Jinga lao, serikali haijawahi shinda kesi hata moja ya mahakama za kimataifa. This will also follow the suit! You are moved by emotions and cheap popularitywhat do you have as the "reality"
Niseme wazi bila kificho!
Magufuli hajui anachofanya!
Kama kweli tulimchagua basi tulimkosea MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI.
Tunatubu kwa kosa hili tunaomba atusamehe na kutufanyia wepesi.
Yupo wakati wa pili si vibaya kughairi.