Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watavitoa hata chooniWatatikiswa hawa mpaka wacheue walichomeza
mama ako ndo anajua anachofanya? jinga kabisa wwNiseme wazi bila kificho!
Magufuli hajui anachofanya!
Kama kweli tulimchagua basi tulimkosea MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI.
Tunatubu kwa kosa hili tunaomba atusamehe na kutufanyia wepesi.
Yupo wakati wa pili si vibaya kughairi.
Niseme wazi bila kificho!
Magufuli hajui anachofanya!
Kama kweli tulimchagua basi tulimkosea MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI.
Tunatubu kwa kosa hili tunaomba atusamehe na kutufanyia wepesi.
Yupo wakati wa pili si vibaya kughairi.
Akili hizi sizipendi. Rasilimali zetu zinaibiwa viongozi wanachukua hatua then wewe unaongea as if sio Mtanzania. Kwahiyo tamaa yako ni ipi ktk sakata la kuibiwa Mali zetu.Watajuta muda si mrefu
Na hata almas,mwadui,huko ndiko kina majuto makuu ambayo yataleta Kilimo kikuu kwa taifa
Pole sana kwa kukatiwa mrijaNiseme wazi bila kificho!
Magufuli hajui anachofanya!
Kama kweli tulimchagua basi tulimkosea MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI.
Tunatubu kwa kosa hili tunaomba atusamehe na kutufanyia wepesi.
Yupo wakati wa pili si vibaya kughairi.
Hovyooooooo, na inaonekana mimba yako ilitungwa kilabuni wazazi wako wakipata ulabu.Niseme wazi bila kificho!
Magufuli hajui anachofanya!
Kama kweli tulimchagua basi tulimkosea MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI.
Tunatubu kwa kosa hili tunaomba atusamehe na kutufanyia wepesi.
Yupo wakati wa pili si vibaya kughairi.
wako watendaji wenye uwezo huo...kazi ya Magufuli ni kuwawezesha wafanye kazi yao vizuriSizonje hana kiwango cha kupambana na wafanyabiashara kutoka nje, yeye na wasaidizi wake hawana akili nyingi. level zake ni wamachinga, kina manji, watumishi wa uma nk. Next time chagueni watu wenye akili nyingi bana!!!
hao si mapandikizi ya RizomokoKuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa wakurugenzi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite inayoitwa Sky Associates wako mikononi mwa polisi.
Ndugu Faisal shabhati na ndugu Hussein Gonga wanasemekana kudakwa na polisi maeneo ya burka Arusha.
Tusubiri updates!