longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
ulaji wa mirungi (kuchanja gomba ) na uvutaji wa bangi na wakati mwingine kuipika kama mboga ni sehemu ya burudani na anasa zetu bablai huwezi kuingilia maisha binafsi ya watu...kama vipi arifu kaa mbali ....Arusha itabaki kuwa Arusha jomba!Na Arusha ni watu wastaarabu. Haiwezi kuwa Kilimanjaro kwa wala mirungi na bange