Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,967
- 2,147
Nakumbuka kuwa kamati ya bunge ya Mhe Zungu iligusia kuwa kuna kiongozi alipewa zawadi ya almasi za thamani ya dola za Kimarekani 200 (tshs 448 bilioni). Ni imani yetu kuwa ataagizwa au kuombwa arudishe fedha zetu. Inshallah
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app