Wafabyabishara kutika nje ni hao hao hao watz mkuuSizonje hana kiwango cha kupambana na wafanyabiashara kutoka nje, yeye na wasaidizi wake hawana akili nyingi. level zake ni wamachinga, kina manji, watumishi wa uma nk. Next time chagueni watu wenye akili nyingi bana!!!
Hao wafadhili wakubwa Wa ccm .Leo mmewageuka !!!???Majizi ya Arusha huwa hayakosei. Ni malaika. Watatewa hapa mpaka POVU KILO 800 na mamangi !
Watajuta muda si mrefu
Na hata almas,mwadui,huko ndiko kina majuto makuu ambayo yataleta Kilimo kikuu kwa taifa
Mmesawajika!Ni Kweli kabisa mkuu watu wanakurupuka sna hawajiridhishi kabisa na taarifa sahihi....wengine wanailaumu Serikali kwa Lissu kupigwa risasi kwann wasiwe na facts kwanza? Kitu kma haukijui nyamaza au labda watuambie kma walikuwepo eneo la tukio
Sent using Jamii Forums mobile app
Niseme wazi bila kificho!
Magufuli hajui anachofanya!
Kama kweli tulimchagua basi tulimkosea MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI.
Tunatubu kwa kosa hili tunaomba atusamehe na kutufanyia wepesi.
Yupo wakati wa pili si vibaya kughairi.
We live once.Kama binadamu yeyote yule, Rais Magufuli ana mapungufu yake, kamq ulivyokuwa kwa Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete...! Lakini nikisema ukweli, Magufuli ni moja ya marais bora kabisa kutokea africa.
Anachokifanya now kinaweza kiwe na maumivu kwangu, kwako au mwingine...ila kizazi kijacho kitanufaika sana. Au je, unawapongeza wale waliotOa bure rasilimali zetu.?
Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa wakurugenzi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite inayoitwa Sky Associates wako mikononi mwa polisi. Ndugu Faisal shabhati na ndugu Hussein Gonga wanasemekana kudakwa na polisi maeneo ya burka Arusha. Tusubiri updates!
Kuna mengi sana hpo tanzaniteone ila uwizi upo toka enzi ya mzungu istoshe hawa sky wamepakua mzigo wa kutosha cnc wamechukua kampuni.....stamico nao wahusika kuanzia mkurugenzi waoKwa hao waliokamatwa mpaka sasa wapo kama 10 hivi, ukichunguza account + mali zao binafsi kuanzia tarehe walioajiliwa au wakurugenzi kuanzia siku walionunu kampuni, ndiyo utajua hawa watu wamevuna kwa kiasi gani.
Vumbapu.Niseme wazi bila kificho!
Magufuli hajui anachofanya!
Kama kweli tulimchagua basi tulimkosea MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI.
Tunatubu kwa kosa hili tunaomba atusamehe na kutufanyia wepesi.
Yupo wakati wa pili si vibaya kughairi.
Niseme wazi bila kificho!
Magufuli hajui anachofanya!
Kama kweli tulimchagua basi tulimkosea MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI.
Tunatubu kwa kosa hili tunaomba atusamehe na kutufanyia wepesi.
Yupo wakati wa pili si vibaya kughairi.
Sawa janjajanja na kuhojiwa. Is that evidence! Submission is not evidence!Simbacgawene na ngonyani washatapika ukweli,hakuna kukurupuka hapo,hawa jamaa sky janjajanja Sana,suala Lao likishawahi kuhojiwa bungeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Rubbish, Lisu hapa anaingiaje. Tunaongelea madini siyo Lisu!Ahhhh ila Lissu. Je una ushahidi. Yani mna argue kitoto mpka nashangaa are you serious with this life. Leo madini mnakurupuka. Lissu hata mantiki inakataa lakini mumo tu. Loo poor you.
Haikushinda, hapakuwa na kesi mahakamani it was just a mercy from well wishers in England
follow suit (=do what someone else has done):.
Mkuu nafurahia patriotism unayoionysha.Ukifuatilia kwa lile tukio la jana la almasi na hao kuwadaka acha serikali iwanyooshe wezi tumuunge mkono kwa haya mambo kuna mengine anakosea tuzionee huruma rasilimali zetu hata kama atashindwa walau kajaribu hapa simwachi magufuli namuunga mkono 100%
Na wewe hiyo uliyoitaja nimekutajia mara mbili yako!Vumbapu.
Sara kama zimeuzwa kill 13 halafu India wanauza zaidi. What does that tellcctv camera za wapi? Airport ile kampuni madini yalishaisha muda mrefu tu wamepunguza wafanyakazi wengi sana hakuna kitu tena pale